Simu za HTC

Mbavu za Mbwa

JF-Expert Member
Jan 2, 2011
303
154
Habari zenu ndugu zangu! Naombeni mwenye uelewa na ufahamu mzuri wa simu za HTC anijulishe. Ufahamu huo ulenge hasa katika ubora na uduni wa simu hizo. Na Htc ipi ni nzuri kwa resolution nzuri ya picha, ku-support internet, whatsAPP na mambo mengine mengi ya kisasa. Asanteni
 
Mimi nina HTC S740 iko poa
Date
Announced August 26, 2008 (3th
Quarter)
Status Obsolete
Network
Technology GSM 850 / 900 / 1800 /
1900
HSDPA 2100 /900
Processor/ Memory
CPU Qualcomm MSM7225,
528MHz processor
RAM -
Internal
Storage 256 MB RAM, 256 MB
ROM
External
Memory microSD (TransFlash)
GPU -
Chipset -
Body
Dimensions
(mm) 116.3 x 43.4 x 16.3
Weight (g) 140
Available
colours Black
QWERTY
Keypad Yes
Display
Screen
Size,
Resolution 2.4 inches, 240 x 320
pixels
Screen
Color TFT 65k colors
Design Slider
Screen
Protection -
Multitouch No
Software
Platform /
OS Windows Mobile 6.1
Java
(J2ME) Java MIDP 2.0
Messaging SMS, MMS, Email, IM
Others Built-in GPS with A-GPS,
Pocket Office(Word,
Excel, Outlook, PDF
viewer), MP3/AAC
player, Video/audio
album, Built-in handsfree
Sound
Alert -
3.5mm Jack No
Extra
Feature AAC, AAC+, eAAC+,
AMR-NB, AMR-WB, QCP,
MP3, WMA, and WAV.
Battery
Battery
Type/
Capacity Standard battery, Li-Po
1050 mAh
Stand-by Up to 400 hours
TalkTime Up to 400 minutes
Entertainment
FM Radio Yes
TV Receiver No
Others -
Connectivity
HSPDA HSDPA, 7.2 Mbps
WLAN Class 10, 236.8 kbps
EDGE Class 10, 236.8 kbps
GPRS Class 10 (4+1/3+2 slots)
WiFi Hot
Spot No

GPS Yes
NFC
Support No
Bluetooth Yes, v 2.0
USB Port Yes
Sensor -
Camera Specifications
Capacity 3.2 Megapixel
Max.
Resolution 2048 x 1536 pixels
na mengineyo mengi
 
Habari zenu ndugu zangu! Naombeni mwenye uelewa na ufahamu mzuri wa simu za HTC anijulishe. Ufahamu huo ulenge hasa katika ubora na uduni wa simu hizo. Na Htc ipi ni nzuri kwa resolution nzuri ya picha, ku-support internet, whatsAPP na mambo mengine mengi ya kisasa. Asanteni


mimi natumia HTC sensation Iko poa sana.
napata net ya ajabu nadownload chochote kwenye simu yangu then naamisha kwenye pc yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom