Simu za Halotel H6302

Kwa smartphone tayari mfano hii nnayotumia saiv nimei-unlock na natumia line ya voda coz hapa nilipo halotel haushiki ila kwa hizi simu za kawaida bado hakuna anaeweza ku-unlock.
Mkuu umewezaje ku unlock m natumia h8401.
 
Hizo ni mtk cpu ambazo imei zake zina corrupt kirahisi lakini jaribu kuangalia imei za kwenye housing km zina fanana na za ndani lete mlejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…