mwl. mziray
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 598
- 404
Sio kweli kama ni cover tu. Kwa wale tuliozoea ku-root simu inakuletea kabisa jina halotel na model yake. Ingekuwa issue ni cover ukiroot wasingekuonesha kwamba simu unayoiroot ni halotel.Bado sijaujua ufeki upo wapi ni sawa na kuuziwa NOKIA yenye kava la TECNO.ukituma usitarajie majibu ya TECNO but yatakuja ya NOKIA.
N:B hapo mchawi ni kava tu.
Haya buanaHapo hakuna tatizo. Hili ni suala la BRANDING tu. Ni kama vile Modem imeandikwa Airtel na dashboard ni Airtel lakini kiUhalisia ni Modem ya HUAWEI. Sasa hao halotel wamefanya branding ya moja kati ya Brands za china. Ni kama vilivyo vifaa vya electronic vya SONY, LG, JVC, PHILIPS, PANASONIC,AIWA, DAEWOO etc etc lakini ndani ukiangalia kuna IC na components za samsung, STmicroelec, matsushita, sanyo, szy etc etc
Umenisoma eeh? Kuna kampuni kibao pia zinaBrand vitu vya ICT kwa majina yao lakini ukiangalia hivyo vitu kwa makini unakuta ni origin ya bidhaa zinazotambulikaHaya buana
Kwa hiyo halotel tuseme walitoa kandarasi kwa wachina bila kuwapa masharti ya kutumia branf yao?Umenisoma eeh? Kuna kampuni kibao pia zinaBrand vitu vya ICT kwa majina yao lakini ukiangalia hivyo vitu kwa makini unakuta ni origin ya bidhaa zinazotambulika
Soma vizuriDuka holela liko wapi?
Kwa hiyo halotel tuseme walitoa kandarasi kwa wachina bila kuwapa masharti ya kutumia branf yao?
Na wewe usiekariri umemsaidiaje huyo alofundishwa kukariri?Selikali imewafundisha kukalili na wewe hapa umeonyesha ni jinsi gan una uwezo wakukalili.
Na wewe usiekariri umemsaidiaje huyo alofundishwa kukariri?
Maendeleo huja kwa kusaidiana na kuelekezana na sio majungu.
Zaidi umejidharaulisha mwenyewe. Hovyo kabisa.
Hebu ingia kwenye tovuti yao naona wametoa maelezo au kama nenda TCRA kupata maelezo ya uhakikaWana bodi,
Kwa masikitiko makubwa, nimeshitushwa na simu za halotel H6302 ambazo zinauzwa na halotel na mawakala wao nchini.
Simu hizi kwa kuwa ni brand ya halotel, nilitarajia zitakuwa original na hivyo siku tcra wakizima mitambo ya simu fake, basi watumiaji wa simu hizo watakuwa salama.
Chakushangaza sasa, nazo zimo kwenye orodha ya simu zitakazo shindwa kufanya kazi kwa ufake wake.
Nimeangalia kwa kutumia utaratibu wa kutuma imei no kwenda 15090 na haya ndo majibu yake.
"... Hong Kong Garland International Limited - T-max M1,M2 - Kama IMEI haioani na simu yako wasiliana na muuzaji. Usipoweza,ibadilishe kabla ya Juni 2016 kwani yaweza kuzimika...".
Wito kwa ndugu zangu, simu hizo hazioani na aina ya simu hivyo ni matatizo. Tuzieupuke kukwepa hasara. Iwapo ukinunulia ndugu zako vijijini kwa kuamini ni salama, utaumia.
Aksante
QED quite easily done; mimi nina receipt yao Halotel, cm yng ikizimika they will be held liable kwa simu yenyewe, usumbufu na embarrassment, lazima watanilipa tuWana bodi,
Kwa masikitiko makubwa, nimeshitushwa na simu za halotel H6302 ambazo zinauzwa na halotel na mawakala wao nchini.
Simu hizi kwa kuwa ni brand ya halotel, nilitarajia zitakuwa original na hivyo siku tcra wakizima mitambo ya simu fake, basi watumiaji wa simu hizo watakuwa salama.
Chakushangaza sasa, nazo zimo kwenye orodha ya simu zitakazo shindwa kufanya kazi kwa ufake wake.
Nimeangalia kwa kutumia utaratibu wa kutuma imei no kwenda 15090 na haya ndo majibu yake.
"... Hong Kong Garland International Limited - T-max M1,M2 - Kama IMEI haioani na simu yako wasiliana na muuzaji. Usipoweza,ibadilishe kabla ya Juni 2016 kwani yaweza kuzimika...".
Wito kwa ndugu zangu, simu hizo hazioani na aina ya simu hivyo ni matatizo. Tuzieupuke kukwepa hasara. Iwapo ukinunulia ndugu zako vijijini kwa kuamini ni salama, utaumia.
Aksante