Simu za Android Bongo zenye NFC Reader/Writer

Simu za Android Bongo zenye NFC Reader/Writer

uhakika zaidi ni kwenda kwa authorised dealers hawa japo bei yao ipo juu kidogo, utapata warranty na uhakika wa bidhaa. mfano samsung wapo kkoo kamata (msimbazi mwisho kama unaenda kurasini, wapo jmall mjini.


Shukrani sana!
 
Thanks.
Nina maana ina uwezo wa kusoma kutoka ktk NFC Device/Card
Writer In uwezo wa kuandika ktk Card husika (si rahisi kuwepo kwenye simu ila nimeweka in case ipo ambayo sina taarifa zake)

Unaweza kunisaidia kwa cheapest brand zenye NFC reading capabilities ambazo zinapatikana Tanzania

Mimi nna BlackBerry z30 na inafanya hayo yote uliyoyasema na nimeinunua hapahapa bongo!
 
Mimi nna BlackBerry z30 na inafanya hayo yote uliyoyasema na nimeinunua hapahapa bongo!

Almost flagship zote zinafanya hivyo ILA yeye ametaka ya bei rahisi ndio maana imehitajika kuchambua zaidi
 
Almost flagship zote zinafanya hivyo ILA yeye ametaka ya bei rahisi ndio maana imehitajika kuchambua zaidi
Exactly!
Nahitaji NFC functionality tu, so it makes sense to find the cheapest 😉
 
Back
Top Bottom