mwenzenu anataka ushauri wa kitaalam nyinyi mnampa ushauri wa kizombi!!!
kama angetaka kununua nyengine asingewataka ushauri nyinyi angejinunulia tu.
ila anachotaka kujua nn tatizo?
hapo kuna mtatizo mawili la kwanza linaweza kuwa charger yako current ni ndogo la pili linawza likawa betri swali je ikijaa hiyo simu unatumia kwa muda gani
mwenzenu anataka ushauri wa kitaalam nyinyi mnampa ushauri wa kizombi!!!
kama angetaka kununua nyengine asingewataka ushauri nyinyi angejinunulia tu.
ila anachotaka kujua nn tatizo?