wakuu ninasimu aina ya nokia 6500c,system yake ya charge imeunganika na camera,sasa vyote vimekufa,nimehangaika kwa mafundi kadhaa lakini nimekosa matumaini,naamini kwenye jukwaa hili nitapata suluhisho,kimsingi simu bado naipenda ndo mana.Nawasilisha
Mkuu pole, nilikuwa out of coverage, na namba ilikuwa mbali.Anyway, jamaa hata jina sijamkariri. Ila namba yake hii hapa. 0714179191.Kama unahitaji backup niambie unaenda lini ili nimpigie kukurefer. Goodluck!
Mkuu pole, nilikuwa out of coverage, na namba ilikuwa mbali.Anyway, jamaa hata jina sijamkariri. Ila namba yake hii hapa. 0714179191.Kama unahitaji backup niambie unaenda lini ili nimpigie kukurefer. Goodluck!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.