la msingi angalia devices Ambazo Google Account yako umezilink na akaunti mama,pia kuwa na telegram huwa inasaidia kusave majina kwa Watu ambayo wapo huko ...Ila scenario ambayo hata mm napita yaani simu yangu nikihamisha hamisha line mara kadhaa kuna baadhi ya Namba zinapotea na nsipowasiliana na Mtu MDA mrefu Namba kama inastack yaani inakuwepo ila WhatsApp status unaweza usione ya huyo Mtu je na ww hili tatizo unalo