Simu yangu inafuta contact yenyewe

Simu yangu inafuta contact yenyewe

kiroka

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2018
Posts
407
Reaction score
1,945
Natumia tecno RA7 kuna wakati inafuta contact nilizosave sijui shida ni nn wajuvi tupeane ujuzi
 
Jitahidi utoke huko kwenye tecno,hamia aina zingine za simu,mimi nilihama huko ,kuna baadhi ya matatizo ya simu sijawahi kuyapata tena.
 
Nadhani kuna shida mahala.

Kuna wakati hata simu yangu inafuta namba za simu.
 
kuna nyingine infinix inafuta mpaka apss unashangaa glafla huoni JF pole asee....
 
Ulichokisema ndio nilichotaka kusema mie yaan huenda hata Kuna kifaa kingine tu kina email hio mwana akifuta na kwako vinafutika
Yeah exactly!!!
If he is smart enough , he should be able to notice strange new contacts in his phone book too.
Kwa sababu mwana akiongeza contacts zake huko na simu huku ina ongeza kupitia sync.
 
Ulisajili gmail kwa details na e mail yako?
Kama mtu alikusajilia kwa email yake basi kuna uwezikano anafuta yeye na simu yako inarespond kupitia google sync.
Umefanunua vzr sante mkuu barikiwa sana huko uliko
 
Yeah exactly!!!
If he is smart enough , he should be able to notice strange new contacts in his phone book too.
Kwa sababu mwana akiongeza contacts zake huko na simu huku ina ongeza kupitia sync.
Kajibiwa vizuri Tu Ila naye ahame aje Xiaomi huku na Google pixel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom