Simu yangu haisomi simcards

Jackal

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
9,556
12,675
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Simu yangu imeacha kusoma simcards. Nikiweka kwenye simu zingine zinasomeka. Tatizo inaweza kuwa nini?
 
Simu aina gani ?
Haisomi kabida lini au mtandao ?
Ulikua unafanya nini hadi au imeanza yenyewe
Ilitokea imeHang kuRestart ikawa hivyo.Nikitoa simcard kuweka Simu nyingine inafanya kazi.NikiConnect kutumia WiFi ,hotspot inafanya kazi.Issue ipo kwenye simcard port!
 
Simu aina gani ?
Haisomi kabida lini au mtandao ?
Ulikua unafanya nini hadi au imeanza yenyewe
Ilitokea imeHang kuRestart ikawa hivyo.Nikitoa simcard kuweka Simu nyingine inafanya kazi.NikiConnect kutumia WiFi ,hotspot inafanya kazi.Issue ipo kwenye simcard port!
 
Simu aina gani ?
Haisomi kabida lini au mtandao ?
Ulikua unafanya nini hadi au imeanza yenyewe
Yaani kinatokea kitu kama hiki:
Screenshot_2020-01-24-15-34-36.png
 
Restore factory settings. Hakikisha data zako za muhimu umezihifadhi kwenye memory card au sehemu nyingine au umefanya backup ya data kwenye simu.

Ninaamini njia hii itatatua tatizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom