Picha ya simu? Ungescreenshot hio message afu hio simu umeagiza toka nje?Kila ninapotaka kupiga, simu yangu inagoma. Badala yake inaandika "Check operator services."
Nifanyeje?
Itel - kitochi.Simu gani?
Itel kitochi.Bila shaka ni Infinix, TECNO au itel [emoji23][emoji23]
Ni simu ya rafiki yangu.Aisee, unapenda kuulizwa maswali ee?
Je ndio unaanza kuitumia?
Au kuna setting zilifanyika?
Laini nyingne umejarb?
Zimekubali au?
Umejarb kubadili laini kuweka kwenye simu nyingne?
Uliifanyia factory reset?
Nashukuru sana.piga 100
setting
call setting
send my call ID
Weka ON au SET BY NETWORK
Asante sana.Tunachokijua
Hiyo simu umeficha utambulisho wa mpigaji yaani wewe kitu ambacho mamlaka zilizuia toka miaka ya 2005 huko
Wakati hiyo huduma inafanya kazi miaka ile ulikuwa unaweza kumpigia mtu simu na namba yako isionekane kule.
Hivyo ili kuwezesha, nenda sehemu au inayofanana na hii.
Jieshimu basiNi simu au Tecno?
Heri yako.Ni simu au Tecno?