anthony kasile
Member
- Nov 20, 2015
- 90
- 16
Wana JF nisaidien nifanyeje ili simu yangu ipone, ni tecno p5 ilizima baada ya kuishiwa chaji sasa nilpoichaji na ikajaa sasa imegoma kuwaka kabisa. Leo siku ya tatu najaribu inashindikana lakini hapo nyuma ilikua na tabia ya kustack Mara kwa Mara, nawasilisha.