Simu ya siri


umeongea kitu cha maana sana mkuu.
 
Huyo nizigo tena zigo la mavi likiwa kubwa litakulemea na likiwa dogo litakunukia.
 

I have no comment since she is not your wife (kisheria na au kidini).
 
manyoya hayo tayr ,,,na ww ucnge dvet mbona uchunguz tu unatosha me kwa jnc nilivyo haki ya nan hata kama wf yupo zanzbar me npo kgoma ntajua tu 2kiwa nae ndo kabisa haluki popote kwa experence nilionayo
 
Mnapaswa kumsaidia mbinu zote za kunasa mawasiliano kuliko kumshambulia mnakofanya
 
achana na presha za simu wanawake ni wajanja hata ukimzuia kutotumia simu akiamua kuchepuka atachepuka kwani zamani kabla ya simu watu walikuwa hawachepuki,angalia mapungufu yako yafanyie kazi,mtunze,mgegede vizuri mpende etc atatulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…