Corner stone
Member
- Jan 3, 2020
- 32
- 41
Katika pitapita zangu instagram nimekutana na simu yangu pendwa tangu utoto samsung note 10+ ambayo wakati inatoka ilikuwa haikamatiki maana bei yake ilikuwa inaunguza mikono, leo nimeiona inauzwa 550,000TZS ila ni used from Dubai, kuna mtu ana uzoefu na hizi simu used from Dubai nisije ingizwa mjini.