Wapendwa wadau kuna biashara simu mpya kampuni ya at&t samsung ziko sokoni tunaziuza kwa jumla na rejareja ni simu nzuri smart phone
Ukipenda pm me nitaleta ulipo..keshi tutaziuza arusha
Takwenya mama yeyoo,
subai sie?
Binti ya Narosoito unajua ikileta Tangaso kama hii inatakiwa iwe imeeleweka fema,
sasa wewe nausa simu, husemi beyi, huseni modali yake, husemi wewe iko mkoa ipi, nasani wanunusi wana muda ya kuumisa kichwa yake kuasa kujiuliza watapata wapi wewe, tcheeee mama yeyoo batilika biashara ya sasa sio kama kuusa masiwa kule Emboreet au Narakauo weka kila kitu inje inje watu tafuata wewe! lapta wewe iwe nausa ile kitu Makyembe shikia chini sana, asawise kila kitu iwe peupe pm iwe kwa mambo ingine kama ile mambo ya kitu namesa mwensie ndo naweza sungumza kwa PM!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.