Simu nzuri ya sh laki4 ni ipi

Simu nzuri ya sh laki4 ni ipi

gibasisi

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
597
Reaction score
640
Habari wana jamvi, pamoja na vyuma kukaza nimejichanga nikapata sh laki4 hivi kwa ajili ya kununua simu. nimekuja kwenu ili mnipe msaada na ushauri nichukue simu ipi kwa bajeti hiyo. sitaki tecno na nduguze. nawasilisha
 
Au ukiona umekoswa kabisa njoo nikuuzie nokia lumia 920 lakini huwezi faidi kama Samsung asee coz ni ngumu kimatumizi ila kwenye moto nasurrendar asee ,internal 32 ,Network 4g ,
230K
 
lumia hapana, ndio maana nikasema sitaki tecno na dada zake
 
lumia hapana, ndio maana nikasema sitaki tecno na dada zake
Ahaa chukua Samung Grand Prime Pro Toleo jipya kabisa kwa 340K ni nzuri inafaa kulingana na kiwango chako cha pesa .
 
Chukua Xiomi Brand new Matumizi ya kawaida inakaa siku mbili bila kuchaji
 
Back
Top Bottom