Pole kaka, ila mkeo ndio mwenye makosa kwani yeye anajua mila za kwao zaidi yako, na anajua jinsi inavyokuwa kwenye siku za kuzaliwa kwa wazazi wake,kwanini asikuambie? Na huyo baba mkwe pia sio mstaarabu,angepaswa ampigie mwanae tena si kwa kufoka. Angemuuliza tu,mwanangu,mbona hatujawaona kwenye sherehe? Na sio kukupigia wewe tena kwa kukukaripia eti mböna hamjaja wala kuleta zawadi!! Puuuuuuh!!