jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 4,482
- 11,501
Huyu jamaa kasahau Huawei, kosa kubwa sana kwenye hii listMachaguo yangu ni kama ifuatavyo:-
1. Huawei Mate 50 Pro
2. Vivo X90 Pro Plus
3. OnePlus 11 (Pro kama itatoka)
Huyu jamaa kasahau Huawei, kosa kubwa sana kwenye hii listMachaguo yangu ni kama ifuatavyo:-
1. Huawei Mate 50 Pro
2. Vivo X90 Pro Plus
3. OnePlus 11 (Pro kama itatoka)

Iphone za wizi utumika kwajili ya spea tu, l phone ukiiba wakiamu kukutafuta watakufata mpaka chumbani kwako, au Mwenyewe simu anaweza kuiblock na usiweze kuitumia ukawa nayo kama pambo tu.
Huko mbeleni xiaomi hakuna atakaye mgusa ni noma Sana hawa jamaa
Najichanga nivute note 11pro or 12pro![]()
Aliyekwambia simu za android huwezi kutafutwa ni nani??mchawi ni imei NO tu.
Iphone zinaibiwa sana,zinaflashiwa sana tu,ingawa zinakuwa na limitation katika ufanisi wake,inaweza ikawaka na kusoma line ila usiruhusiwe kuupdate,ukiforce inajilock tena,inaweza ikawaka isisome tena line.
Kwa matokeo hayo mawili hapo juu,hata baada ya simu zenye android 11 na zaidi kutoka,utaratibu umekuwa ni huo,ukiiflash ili kutoa lock inawaka ila haisomi line,kubadili imei siku hizi simu hazikubali.
Tofati ya iphone na simu za androi ni dharama za spare,iphone ya wizi kuiuza spare ni bei mbuzi sana kuliko samsung ya wizi kuiuza spare.
Aliyekwambia simu za android huwezi kutafutwa ni nani??mchawi ni imei NO tu.
Iphone zinaibiwa sana,zinaflashiwa sana tu,ingawa zinakuwa na limitation katika ufanisi wake,inaweza ikawaka na kusoma line ila usiruhusiwe kuupdate,ukiforce inajilock tena,inaweza ikawaka isisome tena line.
Kwa matokeo hayo mawili hapo juu,hata baada ya simu zenye android 11 na zaidi kutoka,utaratibu umekuwa ni huo,ukiiflash ili kutoa lock inawaka ila haisomi line,kubadili imei siku hizi simu hazikubali.
Tofati ya iphone na simu za androi ni dharama za spare,iphone ya wizi kuiuza spare ni bei mbuzi sana kuliko samsung ya wizi kuiuza spare.
Sasa kama hurusiwi kuapdate sever za iphone simu itafanyaje kazi file,photo lazima ziwe kwenye sever zao
Sio miaka hii watu wana unlock iPhone like any other phone ..nenda mwaza pale Near makoloboi....vile vile remember saga la iphone ya gaidi flan wa al Qaeda mbona waisrael wali unlock na wakaitumia ......hapo sitataja chambers za kariakoo hukoo n balaa zaid....soo uskariri tena suala hilo..ni outdatedIphone za wizi utumika kwajili ya spea tu, l phone ukiiba wakiamu kukutafuta watakufata mpaka chumbani kwako, au Mwenyewe simu anaweza kuiblock na usiweze kuitumia ukawa nayo kama pambo tu.
Sio miaka hii watu wana unlock iPhone like any other phone ..nenda mwaza pale Near makoloboi....vile vile remember saga la iphone ya gaidi flan wa al Qaeda mbona waisrael wali unlock na wakaitumia ......hapo sitataja chambers za kariakoo hukoo n balaa zaid....soo uskariri tena suala hilo..ni outdated
Unadhani iPhone ni secure kihivyo?As long as phone ni android hata iwekwe mikogo gani kwangu naona yakawaida tu. .kwangu mm chakwanza ni security mengine yanafuata
Haaahaha.....
Mkuu nafanya kaz na weupe hapa tukiwa geita ilipigwa iphone tukiwa kwa gari ...na n latest tuliitafuta kwa mbinu kazaa ilibuma mwsho nlitangaza dau tukaipata cha ajabu tulikuwa wanazengo wametoa lock....siwez kukupa full details ila iPhone wahun wana break kama kawaSio poa unavyolichukulia hili swala ukienda hiyo mitaa kuna watu wanazo nyingi tu tena mpya hizi 13 na 14 lakini wameweka tu wameshindwa
Sometimes unafuatilia tu kujua nini kipya kimeongezwaKukimbizana na matoleo ya simu na chenyewe kipaji , mana kila sku zinatoka matoleo mapya , mimi simu nikinunua mpya mpak inizingue ndo nanunua nyingine