Simu kujizima wakati WA kupiga

Simu kujizima wakati WA kupiga

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
264
Reaction score
381
Wataalam mniambie Hali ya simu kujizima zima pindi unapopiga ,natumia VIWA A4 yani imeanza tatizo la kujizima kila nikitaka kupiga mpaka natamani kuipasua hii simu,Kuna wakati inatulia na kuna wakati tatizo linaanza tena naombeni solution la hii hali
 
Wataalam mniambie Hali ya simu kujizima zima pindi unapopiga ,natumia VIWA A4 yani imeanza tatizo la kujizima kila nikitaka kupiga mpaka natamani kuipasua hii simu,Kuna wakati inatulia na kuna wakati tatizo linaanza tena naombeni solution la hii hali
Je tangu tatizo hilo kuanza sm inakaa na chaji kama ndio! Bhas kabadlishe betr na tatizo linaondoka kama lah.. Bhas nenda ukaiflash sm
 
Wataalam mniambie Hali ya simu kujizima zima pindi unapopiga ,natumia VIWA A4 yani imeanza tatizo la kujizima kila nikitaka kupiga mpaka natamani kuipasua hii simu,Kuna wakati inatulia na kuna wakati tatizo linaanza tena naombeni solution la hii hali
Jaribu kuipiga ukiwa umechomeka charger kwenye umeme lete mrejesho
 
Back
Top Bottom