Simu kuchelewa kupokelewa customer care

ccr airtel

Member
Mar 27, 2011
96
13
Ndugu wadau tatizo ni kwamba kupiga simu huduma kwa wateja ni bure so kuna wateja wengi wanapiga simu hasa wa maeneo ya kishapu,katesh,babati,shinyanga,mtwara (haswa masasi),rorya,tandahimba...Hawa wananchi anaweza akapiga simu (ofcoz anapokelewa kama mteja mwingine yeyote anavyopiga coz huwezi jua shida ya mtu au kujua huyu mtu atauliza nini hadi atakapotamka tatizo lake),kisha anakwambia nilikua nataka kukusalimia tu,au naomba nitumie japo 200 ndugu yangu sina kitu kabisa (hapo ana salio la 500),au akakwambia nilitaka tu kujua saa ngapi, au mwingine anasema,au tatizo jingine kubwa tunalokabiliana nalo kwa sasa ni wateja kuuliza maana ya 200MB (kifurushi cha intanet cha ofa baada ya kuongeza salio),kuna mteja mimi binafsi aliwahi kunipigia simu anataka tuombe coz huko alipo kuna tatizo lamtandao...na hii yote ni kwa sababu huduma ni ya bure with no limitation,au unaweza kukuta mteja mwingine haweki salio kazi yake kupiga tu namba 100 na akipokea mwanaume anakata (shida yake ni wadada tu)...ila ukweli ni kwamba kwa siku wafanyakazi wanaokua online kuhudumia wateja ni zaidi ya 350 na bado wanaongezwa na kila mmoja anapokea wastani wa simu 165 wastani wa dk 2.5 kwa simu...AHSANTENI SANA WADAU KWA KUCHAGUA AIRTEL KUMBUKENI WEEKEND OFFER SALIO KUANZIA 1000 UKIONGEZA UNAPATA 10 MINUTES FREE,100 SMS NA KIFURUSHI CHA 200MB KUANZIA SAA NNE USIKU HADI KUMI NA MBILI HASUBUHI
 
unaweza kukuta mteja mwingine kazi yake kupiga tu namba 100 na akipokea mwanaume anakata (shida yake ni wadada tu)...
unaweza ukawafikiria vibaya watu wa hivyo ila hiyo inatokana na namna anavyohudumiwa.
Nimeshapiga mara nyingi wanapokea wadada ila naye akishajua anaongea na mdada mwenzie hakupi huduma kwa namna nzuri. Ataongea kama amechoka au kalazimishwa. Tofauti na akipokea mtu wa jinsia tofauti.
 
AHSANTENI SANA WADAU KWA KUCHAGUA AIRTEL KUMBUKENI WEEKEND OFFER SALIO KUANZIA 1000 UKIONGEZA UNAPATA 10 MINUTES FREE,100 SMS NA KIFURUSHI CHA 200MB KUANZIA SAA NNE USIKU HADI KUMI NA MBILI HASUBUHI

kumbe hii kitu imehamia na kuwa ni kwa w/ends.....sasa mbona hamtujulishi wateja kuwa mambo yamebadilika......halafu hizi offer za 200mb zinawekwa usiku namna hiyo kwa nini isiwe kuanzia hata saa 2 usiku? kwa muda wa maongezi kidogo sawa......ni maoni yangu tuu lakini
 
husninyo tanzania ni kubwa hii,na ukiskia kuna watu hawajasoma ujue hawajasoma kweli for sure katika simu 165 ukipokea kwa siku wateja wenye matatizo kabisa ya kusababisha kupiga ccr hawafiki 20 believe me...mwingine anakupigia simu unamwambia tafuta kalamu na karatasi nikupe maelekezo anakwambia sijui kuandika...au analalamika kuna message amepokea unamuuliza inahusu nini anakujibu sijui kusoma (na ni kweli),au mwingine anapiga simu akidhani ni studio labda ya redio fulani unamuuliza nikusaidie nini anakujibu natafuta mchumba...sasa hawa wote ndo wanasababisha mnapiga simu hadi zinakua za moto (na uhakika hiyo simu lazima itakua mchina)...ila ndo wateja we need to go with them slowly mwisho wa siku anakuaga na kukukaribisha huko kwao ukale viazi
 
kumbe hii kitu imehamia na kuwa ni kwa w/ends.....sasa mbona hamtujulishi wateja kuwa mambo yamebadilika......halafu hizi offer za 200mb zinawekwa usiku namna hiyo kwa nini isiwe kuanzia hata saa 2 usiku? kwa muda wa maongezi kidogo sawa......ni maoni yangu tuu lakini

wateja raha ilipokua saa sita walisema kwann isiwe japo saa nne saiv wanataka saa mbili...ila ni maoni na lazimayaheshimiwe...kumbuka kama utaweka vocha iwe ni ya 1000 sio mia tano 2 na kuweza kutumia ofa yako salio liwe zaidi ya sh 4
 
wateja raha ilipokua saa sita walisema kwann isiwe japo saa nne saiv wanataka saa mbili...ila ni maoni na lazimayaheshimiwe...kumbuka kama utaweka vocha iwe ni ya 1000 sio mia tano 2 na kuweza kutumia ofa yako salio liwe zaidi ya sh 4

mkuu juzi niliweka vocha za elfu elfu 3, sikuona message yoyote ya kuniambia kuwa nimepewa offer, au ndio imehamia hiyo weekend
 
Hamna kitu hapo, yaani watu wa marketing hapo ndio mnaona mmetoa offer, mtu aanze kutumia kuanzia saa nne usiku? nadhani offer hiyo mngewapa wanafunzi/wanavyuo kwani wao mida hiyo wanakuwa wako macho, lakini mtu kama mimi huduma hiyo hainifai..
 
Ndugu wadau tatizo ni kwamba kupiga simu huduma kwa wateja ni bure so kuna wateja wengi wanapiga simu hasa wa maeneo ya kishapu,katesh,babati,shinyanga,mtwara (haswa masasi),rorya,tandahimba...Hawa wananchi anaweza akapiga simu (ofcoz anapokelewa kama mteja mwingine yeyote anavyopiga coz huwezi jua shida ya mtu au kujua huyu mtu atauliza nini hadi atakapotamka tatizo lake),kisha anakwambia nilikua nataka kukusalimia tu,au naomba nitumie japo 200 ndugu yangu sina kitu kabisa (hapo ana salio la 500),au akakwambia nilitaka tu kujua saa ngapi, au mwingine anasema,au tatizo jingine kubwa tunalokabiliana nalo kwa sasa ni wateja kuuliza maana ya 200MB (kifurushi cha intanet cha ofa baada ya kuongeza salio),kuna mteja mimi binafsi aliwahi kunipigia simu anataka tuombe coz huko alipo kuna tatizo lamtandao...na hii yote ni kwa sababu huduma ni ya bure with no limitation,au unaweza kukuta mteja mwingine haweki salio kazi yake kupiga tu namba 100 na akipokea mwanaume anakata (shida yake ni wadada tu)...ila ukweli ni kwamba kwa siku wafanyakazi wanaokua online kuhudumia wateja ni zaidi ya 350 na bado wanaongezwa na kila mmoja anapokea wastani wa simu 165 wastani wa dk 2.5 kwa simu...AHSANTENI SANA WADAU KWA KUCHAGUA AIRTEL KUMBUKENI WEEKEND OFFER SALIO KUANZIA 1000 UKIONGEZA UNAPATA 10 MINUTES FREE,100 SMS NA KIFURUSHI CHA 200MB KUANZIA SAA NNE USIKU HADI KUMI NA MBILI HASUBUHI

KIUKWEL AIRTEL mmeanza kuwa wababaishaji kama hawa ndugu zetu wa kigali kidogo.Zamani ilikuwa ukipiga simu airtel unapokelewa haraka sana.MIMI nilishapiga simu siku mbili mfululizo bila kupokelewa na mtu yeyote yule.Tatizo kubwa nilikuwa sipati comfirmation sms ya bundle ya mb 400.Siku ya tatu akapokea sharo baro akasema hajui jinsi ya kunisaidia.Nilikaa nikaja kupata msaada kwenye ofisi ya huduma kwa wateja baada ya miez miwili tangu tatizo litokee.JIREKEBISHENI.NA WALA USINIBISHIE NASEMA UKWEL MTUPU!
 
kiukwel airtel mmeanza kuwa wababaishaji kama hawa ndugu zetu wa kigali kidogo.zamani ilikuwa ukipiga simu airtel unapokelewa haraka sana.mimi nilishapiga simu siku mbili mfululizo bila kupokelewa na mtu yeyote yule.tatizo kubwa nilikuwa sipati comfirmation sms ya bundle ya mb 400.siku ya tatu akapokea sharo baro akasema hajui jinsi ya kunisaidia.nilikaa nikaja kupata msaada kwenye ofisi ya huduma kwa wateja baada ya miez miwili tangu tatizo litokee.jirekebisheni.na wala usinibishie nasema ukwel mtupu!

usinibishie nasema
ukwel mtupu.nimependa hapa mwisho ulivyomalizia
 
Hamna kitu hapo, yaani watu wa marketing hapo ndio mnaona mmetoa offer, mtu aanze kutumia kuanzia saa nne usiku? nadhani offer hiyo mngewapa wanafunzi/wanavyuo kwani wao mida hiyo wanakuwa wako macho, lakini mtu kama mimi huduma hiyo hainifai..

ukiona muda huo unakua sio favourable kwako mkuu unaweza kutumia huduma ya jirushe dk 240 free kwa sh 1900 kuanzia kumi na moja hasubuhi hadi 12 jion,andika tu neno jirushe kwenda namba 15354
 
Yaani ndugu hii strategy ya kujibu matatizo ya wateja kwenye net au social networking kama itakuwa serious, I am telling you mtaona changes nyingi saana. Maana maelezo yako yanatia moyo kwamba malalamiko yao yanasikia na kujibiwa. Hapo nina hakika umeokoa simu nyingi.
 
Back
Top Bottom