ccr airtel
Member
- Mar 27, 2011
- 96
- 13
Ndugu wadau tatizo ni kwamba kupiga simu huduma kwa wateja ni bure so kuna wateja wengi wanapiga simu hasa wa maeneo ya kishapu,katesh,babati,shinyanga,mtwara (haswa masasi),rorya,tandahimba...Hawa wananchi anaweza akapiga simu (ofcoz anapokelewa kama mteja mwingine yeyote anavyopiga coz huwezi jua shida ya mtu au kujua huyu mtu atauliza nini hadi atakapotamka tatizo lake),kisha anakwambia nilikua nataka kukusalimia tu,au naomba nitumie japo 200 ndugu yangu sina kitu kabisa (hapo ana salio la 500),au akakwambia nilitaka tu kujua saa ngapi, au mwingine anasema,au tatizo jingine kubwa tunalokabiliana nalo kwa sasa ni wateja kuuliza maana ya 200MB (kifurushi cha intanet cha ofa baada ya kuongeza salio),kuna mteja mimi binafsi aliwahi kunipigia simu anataka tuombe coz huko alipo kuna tatizo lamtandao...na hii yote ni kwa sababu huduma ni ya bure with no limitation,au unaweza kukuta mteja mwingine haweki salio kazi yake kupiga tu namba 100 na akipokea mwanaume anakata (shida yake ni wadada tu)...ila ukweli ni kwamba kwa siku wafanyakazi wanaokua online kuhudumia wateja ni zaidi ya 350 na bado wanaongezwa na kila mmoja anapokea wastani wa simu 165 wastani wa dk 2.5 kwa simu...AHSANTENI SANA WADAU KWA KUCHAGUA AIRTEL KUMBUKENI WEEKEND OFFER SALIO KUANZIA 1000 UKIONGEZA UNAPATA 10 MINUTES FREE,100 SMS NA KIFURUSHI CHA 200MB KUANZIA SAA NNE USIKU HADI KUMI NA MBILI HASUBUHI