Simu Kali za Samsung 2017

Simu Kali za Samsung 2017

Sio hivyo mkuu. Kila mtu ana kipaumbele chake na ndoto zake za maisha. Mwingine anawaza kupata mtaji wa banda na chips kwa laki 5 ilhali mwigine anahonga demu milioni 2 na gari juu, ama ananunua simu ya milioni 3. Accept our diversities!
Ndo maana nikasema ni mawazo ya kimasikini maana huwezi kupigia bajeti hela ya mwenzio, ishike yako ndo upigie bajeti na sio ya mwenzio iliyopo kwenye bajeti yake kuona kama kakosea kuiweka kwenye hiyo bajeti
 
Samsung unachagua tu ndugu, kwa hela hiyo c9,a8,s7 note 5 na chenj inabaki.
 
Back
Top Bottom