Simu Inauzwa

Simu Inauzwa

Habari ndugu zangu nauza simu Aina ya Infinix smart 7 HD ipo katika Hali nzuri Haina kipengele imetumika miaka 2 tu bei ni sh 190000 TSH karibuni maelewano yapoView attachment 3661700View attachment 3661701
Nimepatwa na shida ikiwa haraka itapendeza zaidi tukifanya biashara, simu ni yangu mwenyewe ata kwa Mwenyekiti tunaweza kwenda kuandikishana
Toa hiyo moja tufanye biashara
 
Unataka kuuza bei uliyonunulia na simu ushaitumia miaka 2??

Sio kwa ubaya ila hiyo bei na aina ya simu ni tofauti.

Ingia kwenye groups za "vitu used" facebook, tangaza huko huenda ukapata mteja.

Na ukiendelea kulia kua una shida utaiuza hata 10k.
 
Unataka kuuza bei uliyonunulia na simu ushaitumia miaka 2??

Sio kwa ubaya ila hiyo bei na aina ya simu ni tofauti.

Ingia kwenye groups za "vitu used" facebook, tangaza huko huenda ukapata mteja.

Na ukiendelea kulia kua una shida utaiuza hata 10k.
Sawa
 
Wakuu umefika 160000 nauza simu naomba mnununue na shida jamani naombeni 🙏😭
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom