Ipo moja ya samsung lkn ni za kitambo kidogo.
Pia ipo ya tecno Q1 ila ndio tatizo ni lile lile ram, rom vyote vina uwezo mdogo coz ni matoleo ya muda kidogo.
Ila mkuu kuepuka hili kwann usitafute simu nzuri ya hv karibuni yenye screen pana.
Then kama nikuchati weka on Auto rotation.
Keybord inakuwa ktk landscape mode simu unakuwa unaishika kama unacheza game hapo unachat vzr tu.