text za kawaida au mitandaoni?simu yangu kunaa baadhi ya text haisomi inaaleta alama hizi,nimejaribu ku updade lakini tatizo bado ni lilelile,nifanyeje
simu samsung galaxy j7 primeView attachment 2292451
Ni emoji hizo, baadhi hazisomi... inahitaji version kubwa ya android ambapo simu yako haisupportmitandaoni,mfano twitter na whatsapp
simu hii ni android version 8,kuna mtu wa infinix wa version 8 kama yangu nilimrushia text ya wasap ambayo kwangu haisomi kwake inasoma,hakuna setting naweza kufanya?Ni emoji hizo, baadhi hazisomi... inahitaji version kubwa ya android ambapo simu yako haisupport
Mmh download labda emoji keyboardsimu hii ni android version 8,kuna mtu wa infinix wa version 8 kama yangu nilimrushia text ya wasap ambayo kwangu haisomi kwake inasoma,hakuna setting naweza kufanya?
Nilishawahi na mimi kua na simu ya hv inakera sana
Hizi ni emoji mkuu, simu yako haitambui hizi emoji ndomana haioneshisimu yangu kunaa baadhi ya text haisomi inaaleta alama hizi,nimejaribu ku updade lakini tatizo bado ni lilelile,nifanyeje
Simu samsung galaxy j7 prime.
View attachment 2292451
kweli kabisanimejaribu lakini naona tatizo liko palepale,inawezekana kweli labda simu yangu ni ya kizamani kweli