Nimenunua simu aina ya Samsung Galaxy tab A6, haishiki network yoyote lakini nilivoingia ndan kwenye setting - conection ile phone network hilo neno halipo kwenye simu.
Je inawezekana simu haina network, au kuna jinsi ya kuinstall kwa kutumia Wi-Fi maana nikiconect na Wi-Fi naweza kudownload kitu lakini line haishiki so hata message, simu hakuna inayoingia na kutoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je inawezekana simu haina network, au kuna jinsi ya kuinstall kwa kutumia Wi-Fi maana nikiconect na Wi-Fi naweza kudownload kitu lakini line haishiki so hata message, simu hakuna inayoingia na kutoka.
Sent using Jamii Forums mobile app