Simu haifungui wi_fi na bluetooth

Simu haifungui wi_fi na bluetooth

): unauliza sana maswali wee shuka nyondo watu tu flow
Hahaha.. Mkuu hatukurupuki kabla ya kujua tatizo ni nini. Na pia kushuka tu bila kuwa na direction haitotatua tatizo hatuko hapa kwa ajili ya misifa ya kijinga mkuu
 
Mkuu hii process ni ngumu kiasi hivyo basi kama hauna background na Custom ROM flashing usihangaike. Sema ulipo kama upo kanda ya Kaskazini nitumie Private Message
Nadhukuru kwa msaada wako mkuu. Nipo mbali kidogo. Nipo easten zone huku moro.
 
mkuu wifi, na bluetooth havifanyi kazi bado? nina note 3 ilikuwa hivo inazingua kama wewe wifi na hotspot vilikuwa havifanyi kazi nimepata solution na simu ipo fresh .kwanza root simu yako
 
Back
Top Bottom