SIMU HAIDOWNLOAD APPS KUTOKA PLAYSTORE.

ISLETS

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
8,118
Reaction score
5,368
Salaam wakuu... nina shida kidogo,
Mzee wangu kaniambia simu yake (tecno C5) imegoma kudownload app yoyote toka playsstore, inaishia kumwambia no enough space, hata ku update inamwandikia "insufficient memory" lakini akicheki memory free space ni kubwa tu GB za kutosha.
naombeni mnisaidie tatizo litakuwa wapi...????
 
Remove external memory ibaki internal then download naamn itakubal..
 
Mkuu fuata procedure hizi
-ingia kwenye settings then nenda kwenye "manage apps"
-Itafute play store hapo kwenye manage apps
-Ibofye hiyo play store halafu utaona sehemu imeandikwa "uninstall updates"
-Bofya hapo utaiuinstall then ingia kwenye browser,may be chrome/uc browser
-Then utaandika hivi kwenye search box "play store 4.8.20"
-Zitatokea link nyingi,utachagua kati ya link ya kwanza au ya pili
-Ukishaingia kwenye hiyo link utaona version nyingi za playtore,wewe utadownload latest version au version ambayo imeekewa tarehe ya mwisho kuliko zote
-Ukishaidownload utainstall,open it!
-NOW THE PROBLEM IS FIXED
 
asante mkuu, nikikaa naye nitajaribu halafu nitaleta mrejesho
 
Aah hapo ningekua mm kwa msaada wa haraka ningeifanyia restore
 
Aah hapo ningekua mm kwa msaada wa haraka ningeifanyia restore
mi niliwaza kufanya factory hard reset ila kwa ninavyojua mzee alivyo mtata nahisi atangekataa maana vitu vingi vingefutika... labda kama kuna namna ya kufanya hii kitu bila kufuta apps na vitu mbalimbali alivyo download
 
Nilikua na tatizo kama hili, lakini hii comment imenisaidia. Asante
 
mkuu hakuna njia nyingine ya kufuta hizo cache zaidi ya ku restore ?
Ipo lakini inahitaji uelewa na aina ya simu. Mfano samsung: zima simu kicha bonyeza vitufe hivi vitatu kwa pamoja (kitufe cha kuongeza sauti, cha kuwashia na kitufe cha katikati chini). Hapo itakuja menyu list alafu shusha kwa kutumia kitufe cha kupunguzia sauti mpaka palipo andikwa clean cache hapo bonyeza kitufe cha kuwazshia simu: tayari! Zima simu yako kisha iwashe tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…