Simu ghali zaid duniani ni ipi?

Simu ghali zaid duniani ni ipi?

LOTH HEMA

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
26,860
Reaction score
41,400
Wakuu,huku mitaani kuna mashindano ya kununua simu za bei ghali,Kuna simu bei inalingana na bodaboda,ni simu gani hiyo na inatengezwa na kampuni gani? Naambiwa kwa sasa simu ghali ni iPhone6, ni kweli?
 
Wakuu,huku mitaani kuna mashindano ya kununua simu za bei ghali,Kuna simu bei inalingana na bodaboda,ni simu gani hiyo na inatengezwa na kampuni gani? Naambiwa kwa sasa simu ghali ni iPhone6, ni kweli?
Sio kweli hapo kwenye iphone 6
Subiri mkwawa atakujibu na vielelezo vya simu zilizo nakshiwa kwa madini
 
vertu kwa miaka zaidi ya 10 ndio watengenezaji simu ghali duniani. simu zao

-zinatengenezwa kwa mkono (handmade) tofauti na simu nyengine zinazotengenezwa na mitambo
-zinatumia madini ghali kama titanium, gold nk
-zinatumia ngozi original (hata ya nyoka ipo)
-personal assistant wake ni mtu wa ukweli ambae anasubiri kukujibu 24hrs

bei ya boda boda? hapana zinazidi dola 10,000 kutegemea na configuration. kiufupi ni hela ya kununulia Hiace/Costa kama daladala na sio bodaboda

ClaretLeather-red.jpg
 
Wakuu,huku mitaani kuna mashindano ya kununua simu za bei ghali,Kuna simu bei inalingana na bodaboda,ni simu gani hiyo na inatengezwa na kampuni gani? Naambiwa kwa sasa simu ghali ni iPhone6, ni kweli?

Nokia ya tochi.
 
vertu kwa miaka zaidi ya 10 ndio watengenezaji simu ghali duniani. simu zao

-zinatengenezwa kwa mkono (handmade) tofauti na simu nyengine zinazotengenezwa na mitambo
-zinatumia madini ghali kama titanium, gold nk
-zinatumia ngozi original (hata ya nyoka ipo)
-personal assistant wake ni mtu wa ukweli ambae anasubiri kukujibu 24hrs

bei ya boda boda? hapana zinazidi dola 10,000 kutegemea na configuration. kiufupi ni hela ya kununulia Hiace/Costa kama daladala na sio bodaboda

ClaretLeather-red.jpg

mkuu kweli haya? au ndo unazuga?
 
vertu kwa miaka zaidi ya 10 ndio watengenezaji simu ghali duniani. simu zao

-zinatengenezwa kwa mkono (handmade) tofauti na simu nyengine zinazotengenezwa na mitambo
-zinatumia madini ghali kama titanium, gold nk
-zinatumia ngozi original (hata ya nyoka ipo)
-personal assistant wake ni mtu wa ukweli ambae anasubiri kukujibu 24hrs

bei ya boda boda? hapana zinazidi dola 10,000 kutegemea na configuration. kiufupi ni hela ya kununulia Hiace/Costa kama daladala na sio bodaboda

ClaretLeather-red.jpg

Mkuu Chief-Mkwawa kuna aja ya kumshawishi anko Magu ili akupe kijinafasi kwenye wizara inayohusu mambo haya.
Bcoz kwenye mambo haya wewe ni nyoko sana babake.
Ntashangaa kama utakua haupo ata kwenye makampuni ya simu.
 
Last edited by a moderator:
Nahisi hawa jamaa price zao zipo based zaidi na material wanayotumia kama madini kuliko teknolojia
Nahisi tu
 
Nahisi hawa jamaa price zao zipo based zaidi na material wanayotumia kama madini kuliko teknolojia
Nahisi tu

Even technology.

-camera zao ni hasselblad certified google hilo neno uone how expensive zilivyo hizo camera na quality pia.

-personal assistant sio siri wala cortana bali ni mtu wa kweli

-hizi simu ni ticket ya kuingia kwenye party au makutano ya mabilionea

Nk
 
Back
Top Bottom