Sir lum Na
Member
- Sep 14, 2021
- 5
- 4
Mnaojua simu kampuni ya Sonny zina weakness gani? Nahofia kuingia mkenge maana pesa zenyewe za kutafuta kwa tochi
Ahsante sanaSony hazina shida ni vile tu makampuni mengine yana simu nzuri zaidi
Ika kuna siku kama Sony Xperia 5 II, Xperia 1 IV, Xperia 5 IV nk zina shida ya overheating kutokana na chipset walizotumia. Ika nyingi hazina shida ni wewe tu kuchagua vizuri
Na simu za Phillips zikojeSony hazina shida ni vile tu makampuni mengine yana simu nzuri zaidi
Ika kuna siku kama Sony Xperia 5 II, Xperia 1 IV, Xperia 5 IV nk zina shida ya overheating kutokana na chipset walizotumia. Ika nyingi hazina shida ni wewe tu kuchagua vizuri
Sina uzoefu nazo mkuuNa simu za Phillips zikoje