Simu bora unayoiamini ni aina gani?

Mkuu simu hizi zipo Bongo? bei yake kibongobongo ikoje?

imenivutia sana
 
Ebwana asikwambie MTU kwenye Nokia 3310,hili gunzi ni hatari
 
Bado simu za Samsung zipo vizuri, lakini unaponunua nunua flagship tu. Hapa natumia galaxy note4 inakimbiza balaa
Nina note 4 pia..bado sijaona haja ya kuhama
 
Mi sikufichi mzee, ugonjwa wangu ni betri liwe linakaa sana na chaji.
Kwa hiyo simu ninayoiamini sana na nimeitumia sana ni Oukitel K10000.
Hiyo sim nimeikubali. inapatikana wapi kama nahitaji kununua?
 
tecnom3
 
***
ipo kwenye gsmarena!.
Ni world most no 1. kwa kukaa na charge.
•zipo kariakoo?,na wanauzaje?
 
***
ipo kwenye gsmarena!.
Ni world most no 1. kwa kukaa na charge.
•zipo kariakoo?,na wanauzaje?
Ipo gsmarena

Code:
http://www.gsmarena.com/oukitel_k10000_has_worlds_largest_battery_now_up_for_preorder_for_19999-news-15429.php
Nina mashaka kama inapatikana kariakoo, sababu kwa kariakoo wafanya biashara wengi wanaangalia ni brand ipi itauza kwa haraka zaidi
 
Microsoft Lumia 640XL LTE best


Sent from mTalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…