demokrasia ina mipaka! je, bado unaweza kwenda kulala chumbani kwa wazazi wako mpaka leo?Leo Leticia anaonekana msaliti. maneno ya kashfa. Mlipomteua kuwa mbunge viti maalum hamkujua kuwa alitalikiwa na Madaraka Nyerere?
Amewahi kugombea ubunge wa Sadc kwa baraka za chadema, leo anaitwa majina mengi.
Demokrasia gani hiyo?
Chadema kila mtu msaliti hilo liko wazi.
Tulijikwaa! Tusongembele tuteue wabunge wa viti maalumu kwa kuangalia sifa ya mtu na mchango wake ktk chama, vilevile waroho wa nyama kama Shibuda wafukuzwe CDM wanafanya usaliti shahiri dhahiri tunawaangalia tu kwanini?Huyu mwanamke ndo maana ananangania jina wa watu
Maoni yako ni Sawa na avatar Yako!Hao waliotoka nao warudishe zile walizochukua hapo awali.. maana kazi waliyofanya ni kazi ya bure kabisa....
nafikiri hata matatizo yake na makongoro yatakuwa yamejikita kwenye tama ya hela
Aliyeleta pesa, alileta mfarakano,
Mioyo ya watu imeteka, inaleta utengano,
Mwenye kumiliki nyingi pesa, aweza fanya lolote agano,
USALITI HUU WA UKOMBOZI, SIMSHANGAI LETICIA NYERERE.
Yesu aliuzwa kwa wayahudi, sababu ilikua pesa,
Hata John aweza jiita "Iddi", kama ukimuahidi pesa,
Leticia mwana wa Mageni Musoni, shilingi inamtesa,
USALITI HUU WA UKOMBOZI, SIMSHANGAI LETICIA NYERERE.
Laki tatu na nusu kwa siku, nani asiyezitaka?
Wakulima wa tumbaku, wazipata mwisho wa mwaka,
Waalimu wenye uzoefu, mwezi mzima wazisaka,
USALITI HUU WA UKOMBOZI, SIMSHANGAI LETICIA NYERERE.
Leticia Madaraka Nyerere, pesa imempofusha,
Hawezi tena kuona mbele, kisa posho za Katiba,
Hata akila matembele, macho yake keshaziba,
USALITI HUU WA UKOMBOZI, SIMSHANGAI LETICIA NYERERE.
Mwizi huanza kama kibaka, akizoea haogopi tena kelele,
Leticia alimsaliti Madaraka, kitindamimba cha Mwal.Nyerere,
Mahakamani akadai talaka, lakini akaendelea kujiita "Nyerere"
USALITI HUU WA UKOMBOZI, SIMSHANGAI LETICIA NYERERE.
Mahakama ingempa mipaka, asitumie tena jina Nyerere,
Hakuna Nyerere kibaka, wala mwenye kiherehere,
Apendaye pesa za "mbaka", na kuweka tamaa mbele,
USALITI HUU WA UKOMBOZI, SIMSHANGAI LETICIA NYERERE.
Mbona hata wewe umeachika tena mara mbili kwa aibu sana tu,mwambie mbowe na watu wake kama kweli wao wazalendo warudishe pesa walizojua ndipo wakazurule mitaani waliko.
Chadema ilipofikia isiwe kokoro tena ..... kuwe na utaratibu wa kupata makada waliofunzwa vizuri sana.Kuokota tu watu kisa nao wanaimba chorus ya chama itakuja kuicost chama zaidi ya tulivyowahi kushuhudia.Kuna makada wachache waliotengenezwa kwa muda mrefu kiasi unaweza kuwaona hata damu zao zinatiririka Chadema na si kuokota watu tu kama huyu bibi msaliti na very soon anakwenda ACT.
Hata Mansour Yusuph Hamid alikuwa kwanachama mtiifu wa CCM leo hii yupo wapi?Leo Leticia anaonekana msaliti. maneno ya kashfa. Mlipomteua kuwa mbunge viti maalum hamkujua kuwa alitalikiwa na Madaraka Nyerere?
Amewahi kugombea ubunge wa Sadc kwa baraka za chadema, leo anaitwa majina mengi.
Demokrasia gani hiyo?
nafikiri hata matatizo yake na makongoro yatakuwa yamejikita kwenye tama ya hela