Msamiati wa nywele zozote za kubandika, ziwe za kutengenezwa au za binaadam mwengine aliyekatwa akiwa hai au amekufa.
Unaonesha hata utamu wa lugha hauuelewi, watu kama wewe ndio mkisikia "usiache mbachao kwa msala upitao" huwa mnauliza "hiyo mbacha na huo msala uko wapi?" Afanaaleyk.