Simple principles zilizonisaidia maishani mwangu

Woga Wa kimasikini ndio unakutuma hivo ,huku ukiamin kuwa

"Hawa ninaowasalimia ipo siku watanisaidia "

Matumizi mabaya ya akili


Tafuta pesa
 
Uko sahihi mkuu
Nimenukuu mahali naaamini zitanisaidia pia mahali fulani na mimi
 
Hakuna
Hakuna Cha first impression Wala Nini...unless inakua applied kwenye bussi ess issue mkuu....lakini everywhere wewe ujali tu first impression.....aaaaah mbona unajipa tabu mkuu
 

Binafsi Nipo kama wewe ila binadamu ni watu wa ajabu sana apo unajizungumzia wewe tu lkn hujui wanakuzungumziaje kitaa aisee ama pata tatizo ndo ujue walimwengu.....
 
Kuna aina mbalimbali za manufaa katika maisha, kwa dhati nashukuru kwa moyo wako na dhamira njema ya chakula hiki cha utashi wa maisha. Tafadhari share na mimi inbox. Usikatishwe tamaa kuhusu uchangiaji unabeba yote u learn from both -&+. Do not hesitate helping never never, this is very fundamental. "For God We Stand United" this slogan is solely mine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…