Simple principles zilizonisaidia maishani mwangu

Simple principles zilizonisaidia maishani mwangu

Kuna sehemu fulani wazee hawapendi kabisa shikamoo wanataka za saizi
 
Jesse Royal...wewe ndio umechanganya..

6. Naogopa kuacha vinyongo kwa watu. Hapa nilikuwa naongelea kuhusu kam kweli mtu nimemkosea na nafsi yangu inanisuta, lazima nimtafute nimuombe radhi....Iko hivyo...Baba mdogo sikumkosea na hakuna kinyongo chochote hapo ambacho nimekisababisha kwake...sikuwahi kumkosea.

7. Sio mwepesi kuomba msamaha kama sijamkosea mtu. Yes, baba mdogo sikuwahi kumkosea ndio maana hadi leo sijawahi kumuomba msamaha kwa jambo hilo maaana sijawahi kumkosea.

Nahisi umenielewa...Ule uzi wa baba msogo ilikuwa ni kuomba ushauri kwenu nifanyeje katika ile njia panda...Huwa sipendi kuacha vinyongo kwa makosa niliyowahi kuyafanya...

so bamdogo alinisaidia ila badae akanikosea..nikaamua kukaa pembeni na sikutaka kumuomba radhi kwa kosa ambalo sijalifanya.​
Basi tupo tofauti Mimi hata nikikukosea siezi omba msamaha hua sikiri udhaifu hata siku moja,

napenda ugomvi kuliko kula kwa sababu ugomvi ninauweza,

simuamini mtu yeyote kwa sababu nishaangushwa mara kibao juzi tu hapa nimetoka kulizwa

Naaishi kwa visasi naamini revenge it's sweeter when it's double koo ukinikosea lazima nrajirudishia ata ukiomba fair nakumbuka kipindi iko nacheza mpira ilikua mtu akinichezea rough afu akaomba fair nakubali japo lazima nijirudishie kama sio siku hio hio nrajirudishia siku ingine yaan ntajtahd niwezavyo tue timu tofauti ili nijirudishie

Kwangu utakavo kuja ndivo utakavo rudi

Simuheshimu mtu sio wenye pesa wazee wala nan yaan kifupi cna heshima kabisa ni kama nna laana tuseme
 
Mi mwanamke asiye na tako bwana hapana kwa kweli ..
 
Umeandika kimasikini sana braza

Nyie ndio wanyonge anayewaita magufuli.

Mabepari hawaishi hivyo Mzee.

Halafu kudai salamu ni kuonesha udhaifu kuwa umedharauliwa.

Ukiona mtu amekupita bila kukusalimia fahamu kuwa hauko kwenye hesabu zake.

Yote kwa yote tutafute Pesa.
 
Maskini na watu wasiojiamini ndo hufanya hayo yote ili wapate ishi kwa huruma ya wazungukao

Huo mfano wa gari ni vile tu uyo dada alikua maskini, Mi nakumbuka siku moja hv mzee alitupita spidi mbaya na kuturushia maji sie tulikua na boda boda kufika mbele kidogo kuna sehemu inaitwa "kisima cha bibi" Iringa huko tunamkuta mzee kaingia kwene mfereji hata hakuongea sana alisema tu vijana kuna laki hapa nataka gari yangu irudi barabarani

Tukamtolea pale ndinga yake tukachukua chetu tukapita hv hv, ayo mambo ya salamu sijuhi dressing & speaking style yanawtupa favor sie maskini tu ila kwa mwenye pesa hakuna kitu ka iko

Jiamini jikubali hivo ulivo ndo ulivoumbwa, muhimu tafuta pesa kwa njia yeyote uache kutegemea huruma ya watu

Hiki ulichoandika kinawafaa watu wanaoanza maisha ila kwa mtu mwenye experience na life ataona umeandika upupu tu
ukweli mchungu , mi mtu hata akinipita hajanisalimia akirudi badae kuniuliza mambo majibu fresh tu, salamu hainiongezei chochote ,masikini ndo tunakomaa na hayo mambo yasiyo ya msingi
 
Maskini na watu wasiojiamini ndo hufanya hayo yote ili wapate ishi kwa huruma ya wazungukao

Huo mfano wa gari ni vile tu uyo dada alikua maskini, Mi nakumbuka siku moja hv mzee alitupita spidi mbaya na kuturushia maji sie tulikua na boda boda kufika mbele kidogo kuna sehemu inaitwa "kisima cha bibi" Iringa huko tunamkuta mzee kaingia kwene mfereji hata hakuongea sana alisema tu vijana kuna laki hapa nataka gari yangu irudi barabarani

Tukamtolea pale ndinga yake tukachukua chetu tukapita hv hv, ayo mambo ya salamu sijuhi dressing & speaking style yanawtupa favor sie maskini tu ila kwa mwenye pesa hakuna kitu ka iko

Jiamini jikubali hivo ulivo ndo ulivoumbwa, muhimu tafuta pesa kwa njia yeyote uache kutegemea huruma ya watu

Hiki ulichoandika kinawafaa watu wanaoanza maisha ila kwa mtu mwenye experience na life ataona umeandika upupu tu
Hapo sawa mkuu mm kama nimenasa na pesa sina nitalala nalo hapo sina shobo na mtu
 
Maskini na watu wasiojiamini ndo hufanya hayo yote ili wapate ishi kwa huruma ya wazungukao

Huo mfano wa gari ni vile tu uyo dada alikua maskini, Mi nakumbuka siku moja hv mzee alitupita spidi mbaya na kuturushia maji sie tulikua na boda boda kufika mbele kidogo kuna sehemu inaitwa "kisima cha bibi" Iringa huko tunamkuta mzee kaingia kwene mfereji hata hakuongea sana alisema tu vijana kuna laki hapa nataka gari yangu irudi barabarani

Tukamtolea pale ndinga yake tukachukua chetu tukapita hv hv, ayo mambo ya salamu sijuhi dressing & speaking style yanawtupa favor sie maskini tu ila kwa mwenye pesa hakuna kitu ka iko

Jiamini jikubali hivo ulivo ndo ulivoumbwa, muhimu tafuta pesa kwa njia yeyote uache kutegemea huruma ya watu

Hiki ulichoandika kinawafaa watu wanaoanza maisha ila kwa mtu mwenye experience na life ataona umeandika upupu tu
Ukwel mchungu sana huu
 
Ni vizuri na Ahsante kwa taarifa...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Binafsi naamini kuwa urahisi au ugumu wa maisha yetu kwa namna moja ama nyingine huwa tunausababisha sisi wenyewe either kwa kujua au kwa kutokujua. Baada ya kujifunza kutokana na makosa ya watu wengine kwa muda mrefu, nilifanikiwa ku develop principles zangu mwenyewe ambazo ndizo zinaongoza maisha yangu. Kwa kiasi kikubwa sana zimenisaidia hivyo kwa siku ya leo ningependa kushare na nyinyi ili kama kuna kitu cha kujifunza tuweze kujifunza na kuboresha maisha yetu. Zifuatazo ni principles zangu ambazo zimenisaidia sana maishani mwangu:-

1. Salamu yangu ni haki ya kila mtu
Binafsi siwezi kupita jirani na mtu yeyote au watu waliokaa na kutulia sehemu yoyote ambapo napita bila kuwapa salamu..Sibagui wakaka, wadada, masela, wazee au mtu wa dini wala kipato chochote. Huwa sipungukiwi kitu kumsalimia mtu yeyote ninaemkuta eneo husika. Nitakuwa sina story nawewe ila lazima nitakupa hai na kuendelea na mambo yangu. Lazima nimuheshimu kila mtu maana huenda kuna siku nitamhitaji. Nitatoa mifano miwili. Mtaa niliokuwa naishi zamani, kuna mdada mmoja mrembo sana kiasi kwamba kutoa salamu yake kukupa ni kitu impossible. Anaweza kuwapita miguuni mwenu bila hata kuwapa salau. Ndiyo, ni binti mrembo na sisi hatukuwa hadhi yake japo kwa salamu.. Siku moja sasa mida ya usiku kama saa tano hivi alikuwa anarudi home na gari, kabla ya kufika kwake gari ikamzingua na hapo ni night. Binti huyo tunaona anakuja tulipokaa..Bila aibu akaomba tukamsaidie japo kuisukuma hadi home. Wadau hawakuwa na simile, walimchana na kumsema kuhusu tabia yake ya kupita bila salamu. Dada aliomba omba msamaha pale kwa aibu na tukaamua kumsaidia tu. Ninaamini alijifunza kitu.

Mfano wa pili, nilihamia mtaa mwingine. sasa kule kuna majirani ambao sina mazoea nao (sipendagi sana mazoea na watu ambao sijawajua mda mrefu). Mazoea yetu makuu ni salamu, nikipita salamu akipita ananisalimu. Siku moja natoka home asubuhi nikawa nimedondosha funguo. Nilikuwa desperate sana hiyo siku na sikujua iko wapi. Badae nimerudi home namuona jirani ananiletea funguo kumbe aliiokota nilipoangusha..Binafsi laiti ningekuwa simpi hata salamu, asingenipa funguo na pengine hata angenikomoa kwa sababu 'naringa'. Nishapata michongo mingi sana kutokana na kuonesha hii heshima ndogo kwa watu japo wengine wanaipuuza. Salamu ina nguvu kubwa sana.

2. There is no second chance for first impression
Hii ni principle yangu ya pili. siku yoyote na muda wowote nikiwa naenda kuonana na mtu kwa mara ya kwanza, huwa najitahidi ku behave. Kama busara nitajitahidi kuact hekima na busara sana siku hiyo. Kama ni muonekano (uvaaji) nitavaa vile ambavyo hainioneshi kama bishoo au msela. Hakunaga second chance ya kumuimpress mtu. Siku atakavyokuchukulia siku ya kwanza kukuona/kuongea nawewe ndivyo atakavyokuchukulia hivyo hivyo siku zote. First impression yako ndio itamfanya mtu aamue either kukuheshimu, kukupa attention au kukupuuza siku nyingine. Hii sio tu kwa watu wazima, hata kwa watoto. Huwa sicheki cheki na mtoto siku ya kwanza. Ukimchekea atakuzoea hivyo na atakuchukulia peace kiasi kwamba hata kesho ukimkaripia atakuona unamuigizia. Mwisho wake atakushika kalio mbele ya watu.

3. Nabadilika kulingana na mazingira
Iko hivi, baadhi ya watu wameshindwa kuielewa persoality yangu hadi leo. Nikienda sehemu nikakuta watu wanaongea vitu serious, nitaadapt yale mazingira. Nikienda sehemu nikakuta wanaongea simple issues plus jokes muda wote namimi nakuwa mtu wa hivyo. Hii hufanya kila kundi linione mwenzao na hawawezi kukutenga, maana huwa sipendi kuchanganya rejesta za kijiweni na ofisini. Hii pia hunisaidia kuilinda reputation yangu kwa watu wa kundi fulani. Mfano mtu wa kundi la watu wananijua kama kijana mwenye busara hawawezi kuamini rumours zozote wakisikia fohadi ana tabia hizi aua anaongea hivi maana sijawahi onesha character hizo mbele yao hivyo hawataamini. Ukiwa na rejesta za busara kijiweni watakuona ni snitch tu na unajifanya umesoma n.k. Sometyimes unaweza poteza michogo mingi maana watakuwa hawakufikishii dili coz we sio mwenzao. Ukileta rejesta za mtaani kwa washua, watakuona mhuni tu na kijana usiyejitambua. Hii principle ndio inanifanya mimi kuwa msaka yote aliyepata yote.

4. Tabia unayonionesha ndiyo nitakayokuonesha (Heshima vs Heshima)
Binafsi, sio mtu wa jeuri au kuringa wala kujisikia maana ukiacha pumzi na afya, sina kingine cha kunifanya niringe. Ila siku zote narudisha kile unachonipa. Naomba nieleweke kwa makini hapa msichanganye. Mfano, nimefika sehemu nikakuta mmekaamnapiga story zenu, nitwasalimi wotee bila kubagua ninaowajua au nisiowajua, mara nyingi napenda kutumia salaamu ya pamoja/jumla kwa wote. Ila kunaile hali mmekaa sehemu, anakuja mtu ambae bila kujali anakujua au hakujui. Anasalimia watu wote pale kwa kuwataja majina mmoja mmoja halafu mimi akaniacha (zaidi ya mara moja), mtu wa aina hii huwa hapati salamu yangu tena labda nimkute sehemu nyeti nitamsalimia kwajili ya kufaidika na kitu fulani.

Ila kama tunaonana mtaani tu hatapata salamu yangu kamwe na nikimkuta kwenye kundi la watu nitatoa salamu kwa wote nitamuacha pia. Kuna baba mmoja wa makamo around 45's alikuwa anakuja sehemu fulani na anasalimia wale anaowajua tu. Sasa namimi kila nilipokuwa namkuta nilikuwa nampita au simsalimii kabisa. sasa kuna siku alinikuta njiani tunaelekea uelekeo sawa. Akanipa salamu akaanza kunidadisi na kunielekeza umuhimu wa kusalimia watu. Akanigusia mara kadhaa huwa simpi salamu na huwa anajisikia vibaya sana hasa mbele ya watu. Ndipo nikagundua kumbe inauma eeenh. Ila mwisho wa siku nilimweleza ukweli kuhusu hata mimi alivyowahi kunifanya nijisikie kudharaulika mbele ya watu na kweli alinielewa basi kuanzia siku hisyo ni tunasalimiana.

Mimi hata uwe na umri sawa na baba yangu, ukinikuta sehemu wewe ndo unapaswa uanze salamu mfano 'haujambo kijana?', nitajibu 'sijambo shikamo' n.k. Ila ukikaa kimya sitakupa salamu maana umenipuuza. Heshima ni kwa wote.

NB: Hii principle ya 4 najua itawafanya watu fulani fulani waseme sina nidhamu au jeuri ila ndani ya nafsi yao wanajua kuwa niko sahihi. Ukishindwa kujiheshimu wewe mwenyewe hakuna atakaekuja kukuheshimu.

Nazimalizia wakuu.
mkuu upo sahihi.

Hata ktika magfundisho ya mtume kaeezea haki za salamu ikiwemo.

Anaetembea au kupita amsalimie aliyekuwa amekaa au hatembei,uww mkubwa au mdogo kama unatembea msalimie yule ambae hatembei.

Anaewakuta watu sehemu yeyr ndo aanze asalimie na sio asalimiwe.

Mdogo aanze kumsalimia mkubwa.

Watu wachache ndio wanatakiwa waanze kuwasalimia wengi.

Haya ni mambo muhimu sana kuyajua.

Lakini pia mimi simchukulii mtu vile anavyonichukulia,mimi nakuchukulia kwa namna ambayo haitonishusha thamani yangu.

Kunawatu wapuuzi wanajifanya wanajua wanaongea sana,wakiona watu wengi wanaanza matani ya kweli ilo wafurahishe wengine,mtu wa aina hii usi3nde kama ambavyo yeye anafanya lazima umkomalie ikiwezekana umpe maneno ya kiutu uzima mbele za watu mpaka aache ujinga wake kwako.

Kuna jamaa alikuwa na tabia hizo akiona wwtu anaanza kukutania hivi na vile matani ya uongo na kweli,siku moja nikamuambia "kaka lengo lako la kuchekesha watu limetimia,na hao wamecheka sio kw sababu umewachekesha saana haoana bali ni kwa sababu wameona wasipocheka utajisikia vibaya kwamba lengo lako halijatimia,kwa hiyo usione kwqmba kila mda una2afurahisha saana watu wakati mwingine wanaigiza kufurahia mambo yko lakini kumbe 2anaona upuuzi tu"

Jamaa mpaka leo hathubutu kunitania ovyo,ni maneno ya kawaida lakini alijiskia vibaya sana mpaka leo ananiheshimu,anachunga anitanie kipi na kioi asinitanie,na mimi uzuri nikimuona nampa hai freshi namchangamkia asione kama nilimind ile siku
 
Back
Top Bottom