Mnama
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 3,227
- 3,182
Thread za usiku kumbe nzuri hivi.
Kwa bahati mbaya ukawa umeshamtia mimba...
Aisee pantoni fika haraka Mentor nkalale....
Akili za Usiku . Mkuu angalia usipinduke na pantoni
Thread za usiku kumbe nzuri hivi.
Kwa bahati mbaya ukawa umeshamtia mimba...
Aisee pantoni fika haraka Mentor nkalale....
Ebu jaribu kumuacha tuone km atajiua kweli....
Mkuu acha kuvunja watu mbavu. 😀😀Nyumbu Wa Lowasa buana, baada ya kuzungusha mikono gia za angani zimeelekezwa kwenye mapenzi sasa.
akishajiua si anaenda kupumzika kaburini we unamuoa huyo mwingnekha! Alaf akishajiua?
Under 35umri wako please!
pumbaaavu unaona kufa kama kwenda chooni ee? Ile damu ya mtu bhana.akishajiua si anaenda kupumzika kaburini we unamuoa huyo mwingne
dah ndugu yangu.Anatishia tuu uyoo, kujiua sio kitu rahis hivo. Lakin mchunguz kabila asijekua Mhehe!!
kwa umri huo unajua ufanyalo... maisha yako furaha yako....usikilze moyo wako.Under 35