Simpendi hata kidogo

Simpendi hata kidogo

CnaJina

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
468
Reaction score
84
Kwa kweli simpendi huyu kaka, kajitahidi vya kutosha kunionyesha ananipenda, kanipa kila kitu, tatizo hanisisimui, hanivutii hata, nimejaribu kujifunza kumpenda japo angalau niweze kumlipa wema alionifanyia lakin wapi, nimemwambia zaidi ya mara elfu kua hayupo moyóni lakin hataki kuelewa, yani ananiboa.

Kuna kipindi nliamua nimpe chance myb baada ya kudate ningeweza kumlike lakini wapi, anatabia ya kupenda kunicontrol, mara oo usiende chuo ntakupa chochote unachohitaji, mara usiwe pic zako fb, uwe unantumia kwa wassap,, mara sipendi utoke na marafiki zako kama unataka kwenda out niambie ntakutoa,,,yan inshort alinichosha.

His the guy I can call hata usiku wa manane and hell come to my rescue, lakn love, hapana moyo wangu umemkataa kata kata,

Love is something else kwa kweli.

Eid mubarak wanaMMU
 
Minalfaidhina...
kumbe upo watsap?

huyu mtu hajui kukudekeza naona..
 
I used to bt nt anymo, labda viber tu


Kama ulijua vile anajua kuhonga tu kubembeleza zero
 
Ntaingia kwenye matatizo tena.....ila huyo jamaa hajui THAMANI yake kama angekuwa anjua....asingehangaika na mtu kama wewe....mtu makini akikusoma between lines(akisoma post zako) anaona una kitu cha ndani kinakusumbua......lakin ipia ni type ya wasichana ambao huona raha kuangaisha wanaume....na kuhama from one man to another(pole) ...na hamjui mtakacho....unfortunately hupata washiakji wanaowasikiliza.......nngepata chance ya kumshauri jama......nngemwambia akuache on spot....
 
Kwa kweli simpendi huyu kaka, kajitahidi vya kutosha kunionyesha ananipenda, kanipa kila kitu, tatizo hanisisimui, hanivutii hata, nimejaribu kujifunza kumpenda japo angalau niweze kumlipa wema alionifanyia lakin wapi, nimemwambia zaidi ya mara elfu kua hayupo moyóni lakin hataki kuelewa, yani ananiboa
Kuna kipindi nliamua nimpe chance myb baada ya kudate ningeweza kumlike lakini wapi, anatabia ya kupenda kunicontrol, mara oo usiende chuo ntakupa chochote unachohitaji, mara usiwe pic zako fb, uwe unantumia kwa wassap,, mara sipendi utoke na marafiki zako kama unataka kwenda out niambie ntakutoa,,,yan inshort alinichosha
His the guy I can call hata usiku wa manane and hell come to my rescue, lakn love, hapana moyo wangu umemkataa kata kata,

Love is something else kwa kweli.

Eid mubarak wanaMMU

mwambie tu ukweli after all mapenz hayalazimishwi
 
Ntaingia kwenye matatizo tena.....ila huyo jamaa hajui THAMANI yake kama angekuwa anjua....asingehangaika na mtu kama wewe....mtu makini akikusoma between lines(akisoma post zako) anaona una kitu cha ndani kinakusumbua......lakin ipia ni type ya wasichana ambao huona raha kuangaisha wanaume....na kuhama from one man to another(pole) ...na hamjui mtakacho....unfortunately hupata washiakji wanaowasikiliza.......nngepata chance ya kumshauri jama......nngemwambia akuache on spot....


Nakupm # yake mara dat dat,, umpe huo ushauri
 
Kwa kweli simpendi huyu kaka, kajitahidi vya kutosha kunionyesha ananipenda, kanipa kila kitu, tatizo hanisisimui, hanivutii hata, nimejaribu kujifunza kumpenda japo angalau niweze kumlipa wema alionifanyia lakin wapi, nimemwambia zaidi ya mara elfu kua hayupo moyóni lakin hataki kuelewa, yani ananiboa
Kuna kipindi nliamua nimpe chance myb baada ya kudate ningeweza kumlike lakini wapi, anatabia ya kupenda kunicontrol, mara oo usiende chuo ntakupa chochote unachohitaji, mara usiwe pic zako fb, uwe unantumia kwa wassap,, mara sipendi utoke na marafiki zako kama unataka kwenda out niambie ntakutoa,,,yan inshort alinichosha
His the guy I can call hata usiku wa manane and hell come to my rescue, lakn love, hapana moyo wangu umemkataa kata kata,

Love is something else kwa kweli.

Eid mubarak wanaMMU

Unaonekana bado mdogo au jamaa hajiamini. Naomba girlfriend wangu asiwe hivyo, sitakuwa na muda wa kupoteza kwenye maisha.
 
Hata kama ningekua mkubwa kiasi gani kama mtu humpendi utajilazimisha, mapenzi hayako hvyo
 
Ni kweli ni ngumu kubadilisha nyeusi kuwa nyekundu,kama huna hisia nae achana naye ila usijiweke kwa sababu ya masilahi
.
 
Kwa kweli simpendi huyu kaka, kajitahidi vya kutosha kunionyesha ananipenda, kanipa kila kitu, tatizo hanisisimui, hanivutii hata, nimejaribu kujifunza kumpenda japo angalau niweze kumlipa wema alionifanyia lakin wapi, nimemwambia zaidi ya mara elfu kua hayupo moyóni lakin hataki kuelewa, yani ananiboa
Kuna kipindi nliamua nimpe chance myb baada ya kudate ningeweza kumlike lakini wapi, anatabia ya kupenda kunicontrol, mara oo usiende chuo ntakupa chochote unachohitaji, mara usiwe pic zako fb, uwe unantumia kwa wassap,, mara sipendi utoke na marafiki zako kama unataka kwenda out niambie ntakutoa,,,yan inshort alinichosha
His the guy I can call hata usiku wa manane and hell come to my rescue, lakn love, hapana moyo wangu umemkataa kata kata,

Love is something else kwa kweli.

Eid mubarak wanaMMU

Endelea tu kujidai sn kuna muda , hasa after campus utamsaka. Maana cku izi mna style ya kumechisha hadi miwani!!
 
Mie naomba niitikie hio salam ya Eid! Minal Aidin Walfaizin
 
Acheni ujinga,MUGABE lazima ashinde uchaguzi
 
Back
Top Bottom