KAZIMOTO
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 1,073
- 325
Said kubenea kanunuliwa na simon kisena kamwe hamtamuona anaandika habari za UDA na kama ataandika hautakuwa uandishi wake mliozoea ataandika kama habari nyepesi nyepesi. huyu jamaa mmiliki wa kampuni hiyo kampa mshiko wa nguvu kubenea na kubenea inadaiwa kapokea.