Simbanet internet gharama utata

Hivi chifu vida superkasi wanakufungia antena au ni line tu unapachika kwenye router
Haitumii line mkuu...
mi wameshakuja kufanya survey na wameshanisainisha mkataba wao...nasubir wanipe invoice nilipe waje kufunga.
 
Hiyo kit inauzwa $500 bila shipping.
 
Kufungiwa bure..ila utalipa kifurushi cha miezi miwili, 20mbps ni 115k hivyo nitadeposit 230k
Hivi mnaposema Unlimited mnamaanisha hakuna mpango wa kukadiriwa kifurushi?yaani unatumia tu kwa kadiri uwezavyo?na je kuna limit ya matumizi kwa idadi ya vifaa?
 
Satelite internet haiwezi ku compete na Fiber ama hata 4G. Hii ni internet ya watu ambao wapo remote.

Na pia starlink sio Cheap, $500 installation na $99 kila mwezi, hivyo Fiber ama hizo Superkasi ni Cheap na speed nzuri.

Ingia subreddit ya starlink kuona reviews na Feedback za watu wanaoitumia kwa sasa. Vitu vyote vinavyohitaji latency ni shida.
 
hyo ya voda ni unlimited???
 
Jamaa anatukana utadhani jf ndiyo inatoa bei elekezi.

Anaandika typos nyingi mtu anajitolea kumjibu bila kuhukumu yeye anaanza matusi
Nimekuta mada ya mtu ambaye yuko kwenye ignore list yangu ikabidi nisome michango ya wadau. Ila kumbe sikukosea kumuweka ignore list, wala sijui nilimuwekaj lini na alifanya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…