Simbanet internet gharama utata


Wewe elimu yako ni darasa gani, maana ulichoandika na ku-post ni upupu kwa kweli. Sijui wasomaji wenzangu kama mnaelewa vizuri alichoandika huyu bibi/bwana.
 
Hizo gharama ni zaidi ya internet ya Elon Musk ( Starlink )

Hawa dawa Yao ni Starlink ikifika Tanzania ofisii zao watafugia kuku na BATA ...

Ingia humu uone kama tanzania huduma za Starlink zimeshafika.



Unachofanya unaagiza dish linakufukia hata kama unaishi Nanjilinji, Vifurushi unakuwa unalipia Kwa Kadi. Na Vifurushi vyao ni cheap kuliko hivi vya kinyonyaji + speed ya internet Yao ni ya kiwango cha juu kuliko hii ya Mitandao yetu ya kinyonyaji

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wewe elimu yako ni darasa gani, maana ulichoandika na ku-post ni upupu kwa kweli. Sijui wasomaji wenzangu kama mnaelewa vizuri alichoandika huyu bibi/bwana.
mkuu dhumuni apa nikuelimishana mm zuku walipokuja kufunga waliniambia ni dedicated
 
Kampuni inayonunua simbanet pia zingine hazina IT wao mfano kuna apartments nyingi za kishua zina simbanet hazina IT, pia baadhi ya kampuni ndogondogo zenye hela pia hazina IT unakuta tu staff wa muhimu tu ila ofisi kali.
 
Kampuni inayonunua simbanet pia zingine hazina IT wao mfano kuna apartments nyingi za kishua zina simbanet hazina IT, pia baadhi ya kampuni ndogondogo zenye hela pia hazina IT unakuta tu staff wa muhimu tu ila ofisi kali.
Kwa zamani sawa, sababu Fiber zilikuwa Adimu. Ila kwa sasa no need small business ama Apartment kuweka Simbanet hali ya kuwa kuna zuku, Home faiba, Raha na wengineo. Kama mtu ameweka maybe hayupo Informed.
 
Kwa zamani sawa, sababu Fiber zilikuwa Adimu. Ila kwa sasa no need small business ama Apartment kuweka Simbanet hali ya kuwa kuna zuku, Home faiba, Raha na wengineo. Kama mtu ameweka maybe hayupo Informed.
Kibamba vipi tunaweza kupata zuku/fiber? Nikienda town kwa wadau wanaoishi kule naona wivu sana, ukutani kuna router kubwa, tv full Netflix, watoto busy na tablets, dingi liko na laptop yake yani internet full. Nawasha wifi yangu nazugazuga kama lisaa hivi nakua nimeshusha mzigo wangu wa kutosha.
 
Zuku hawajafika nje ya katikati ya jiji. Mwisho kkoo, upanga mpaka Kinondoni ya Morocco.

Sema hio voda Superkasi 20mbps kwa 115,000 si mbaya. Sababu Zuku 10mbps ni 70,000. Munaweza kuchanga Familia 2 mkagawana 10mbps kwa hio 67500. Ama kujibana Hata familia 3 ama 4 mnatumia, uwe tu na Router nzuri ili msije Dhulumiana speed.
 
Hiyo superkasi ni unlimited kama zuku? Tatizo huku familia nyingine iko kama mita 15 so kushea sijui kama tutaelewana. Ila iyo ya zuku ni affordable kabisa kwangu pekeyangu inaniuma sana iyo sijui kwanini hawaileti nje ya mji.
 
Hivi chifu vida superkasi wanakufungia antena au ni line tu unapachika kwenye router
 
Hiyo superkasi ni unlimited kama zuku? Tatizo huku familia nyingine iko kama mita 15 so kushea sijui kama tutaelewana. Ila iyo ya zuku ni affordable kabisa kwangu pekeyangu inaniuma sana iyo sijui kwanini hawaileti nje ya mji.
Yap ni unlimited.

Mita 15 hapo mpaka utengeneze mesh ya router kama 3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…