Inog01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,294
- 1,968
Nadhani ndo kilichopo kwa baadhi ya applicationsila hawakukatai kwa maneno but utashangaa tu wenzio wanachaguliwa wewe upo tu unasibir awamu hizi na hizi hadi basi
Nadhani ndo kilichopo kwa baadhi ya applicationsila hawakukatai kwa maneno but utashangaa tu wenzio wanachaguliwa wewe upo tu unasibir awamu hizi na hizi hadi basi
Sasaaa hao hawataki wasomi ? Wanajichanganya tu kama wanaona wanafaa huko kwanini na serikali isiwaajili tuWao wamesema kuwa wale walioungaunga vyeti watafute kazi katika taasisi na mashirika binafsi Ila Serikali inataka wasomi wa Cheti kimoja tu bila kutafuta credit
Wanataka wasomi Ila,wawe wa cheti kimoja sio viwili au nikutumie sehemu ya hayo maneno kiasi fulan yanachoma kwa watu ambao sasa iv wapo mtaani wakisubiri post za serikaliniSasaaa hao hawataki wasomi ? Wanajichanganya tu kama wanaona wanafaa huko kwanini na serikali isiwaajili tu
Wanataka wasomi Ila,wawe wa cheti kimoja sio viwili au nikutumie sehemu ya hayo maneno kiasi fulan yanachoma kwa watu ambao sasa iv wapo mtaani wakisubiri post za serikaliniSasaaa hao hawataki wasomi ? Wanajichanganya tu kama wanaona wanafaa huko kwanini na serikali isiwaajili tu
Hii kitu Simbachawene alikanusha.Yaan kuna watu wame re-seat mtihani kwaiyo wabavyeti 2 vya form 4 wengine mpaka 3 na wengine wamerudia form 6 na wanavyeti 2 kwaiyo kwamujibu wa habari ile inasema eti hawa ni wasomi wa ku ungaunga
Mkuu bora hata walio mtaani kuna wengine ndo wapo vyuoni,habari hizi zinachoma na ukizingatia in tetesi.Wanataka wasomi Ila,wawe wa cheti kimoja sio viwili au nikutumie sehemu ya hayo maneno kiasi fulan yanachoma kwa watu ambao sasa iv wapo mtaani wakisubiri post za serikalini
Tuletee link tupate faida maana kila mtu amekuwa anasema lakeHii kitu Simbachawene alikanusha.
Kuna habari nilitumiwa tu online ikisema Waziri Simbachewene amesema
kuanzia sasa serikali haita ajiri 'watu wenye vyeti vya kuunga unga' akimaanisha watu waliosoma mfano certificate...na baadae kujiongeza hadi degree au wale ambao walisoma kidogo kidogo huku wameajiriwa hadi kufika chuo kikuu..
Simbachewene huyu huyu amenukuliwa akisema wapinzani hawaruhusiwi kutekeleza sera za vyama vyao iwapo wameshinda halmashauri.
Kinachoshangaza Simbachewene mwenyewe historia yake inafahamika
alisoma kwa kuunga unga na inajulikana alikuwa 'mpiga debe'
stendi ya mabasi Dodoma kabla ya kuunga kuunga hadi kufika chuo kikuu
Ukichanganya na hili la wapinzani wasirihusiwe kutumia ilani zao wakishinda uchaguzi nimebaki najiuliza tu ameshikwa na nini?
Nini kinamfanya aongee vitu kama hivi? kuna nini hasa? mbona alipokuwa kimyaa tulimuona kama kiongozi anaeonekana ana busara.Kuna nini kinamsukuma kuongea haya?
Hivi hata Magufuli hatuwezi kusema kasoma kwa kuunga unga? Au nini tafsiri ya kusoma kwa kuunga unga?
====================
TAARIFA HII IMEKANUSHWA NA OFISI YA RAIS-TAMISEMI