Simbachewene amerogwa na nani?

Simbachewene amerogwa na nani?

Wao wamesema kuwa wale walioungaunga vyeti watafute kazi katika taasisi na mashirika binafsi Ila Serikali inataka wasomi wa Cheti kimoja tu bila kutafuta credit
 
Sikusumbuka kutafuta credit mara ya pili,maarifa ya mwanzo yanatosha kujifunzia maarifa mapya zaidi,labda kama ukivia akili huwezi tena kujifunza kitu.
 
Wao wamesema kuwa wale walioungaunga vyeti watafute kazi katika taasisi na mashirika binafsi Ila Serikali inataka wasomi wa Cheti kimoja tu bila kutafuta credit
Sasaaa hao hawataki wasomi ? Wanajichanganya tu kama wanaona wanafaa huko kwanini na serikali isiwaajili tu
 
Sasaaa hao hawataki wasomi ? Wanajichanganya tu kama wanaona wanafaa huko kwanini na serikali isiwaajili tu
Wanataka wasomi Ila,wawe wa cheti kimoja sio viwili au nikutumie sehemu ya hayo maneno kiasi fulan yanachoma kwa watu ambao sasa iv wapo mtaani wakisubiri post za serikalini
 
Sasaaa hao hawataki wasomi ? Wanajichanganya tu kama wanaona wanafaa huko kwanini na serikali isiwaajili tu
Wanataka wasomi Ila,wawe wa cheti kimoja sio viwili au nikutumie sehemu ya hayo maneno kiasi fulan yanachoma kwa watu ambao sasa iv wapo mtaani wakisubiri post za serikalini
 
Yaan kuna watu wame re-seat mtihani kwaiyo wabavyeti 2 vya form 4 wengine mpaka 3 na wengine wamerudia form 6 na wanavyeti 2 kwaiyo kwamujibu wa habari ile inasema eti hawa ni wasomi wa ku ungaunga
Hii kitu Simbachawene alikanusha.
 
Hivi toka lini mtu akafika form sic bila cheti cha Fomu foo
 
Wanataka wasomi Ila,wawe wa cheti kimoja sio viwili au nikutumie sehemu ya hayo maneno kiasi fulan yanachoma kwa watu ambao sasa iv wapo mtaani wakisubiri post za serikalini
Mkuu bora hata walio mtaani kuna wengine ndo wapo vyuoni,habari hizi zinachoma na ukizingatia in tetesi.
 
Kuna habari nilitumiwa tu online ikisema Waziri Simbachewene amesema
kuanzia sasa serikali haita ajiri 'watu wenye vyeti vya kuunga unga' akimaanisha watu waliosoma mfano certificate...na baadae kujiongeza hadi degree au wale ambao walisoma kidogo kidogo huku wameajiriwa hadi kufika chuo kikuu..

Simbachewene huyu huyu amenukuliwa akisema wapinzani hawaruhusiwi kutekeleza sera za vyama vyao iwapo wameshinda halmashauri.

Kinachoshangaza Simbachewene mwenyewe historia yake inafahamika
alisoma kwa kuunga unga na inajulikana alikuwa 'mpiga debe'
stendi ya mabasi Dodoma kabla ya kuunga kuunga hadi kufika chuo kikuu

Ukichanganya na hili la wapinzani wasirihusiwe kutumia ilani zao wakishinda uchaguzi nimebaki najiuliza tu ameshikwa na nini?

Nini kinamfanya aongee vitu kama hivi? kuna nini hasa? mbona alipokuwa kimyaa tulimuona kama kiongozi anaeonekana ana busara.Kuna nini kinamsukuma kuongea haya?

Hivi hata Magufuli hatuwezi kusema kasoma kwa kuunga unga? Au nini tafsiri ya kusoma kwa kuunga unga?
====================

TAARIFA HII IMEKANUSHWA NA OFISI YA RAIS-TAMISEMI


Dah ni shida sana kuzaliwa na kuishi nchi yenye wajinga wengi
 
Back
Top Bottom