Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,739
- 49,565
Ukweli utabakia kuwa Simba ni timu kubwaa
Simba ni wawakilishi pekee Africa mashariki na kati
Simba imejitoa hata kama haikua na wafungaji bora wamekua na team work na hawajakata tamaa
Na wamepambana hata kama sio kwa kufunga wamepambana kuzuia magoli huo ndo uanaume, mwanaume anapaswa kutake action ili afikie lengo lake kwa njia yoyote ile,lengo la Simba jana ilikua ni kuzuia magoli na hata kama ni kupata goli basi wanahakikisha hawafungwi.
Halafu Hao pirates wamepata goli la kuhenyaaaa yani wamehenyaaa tumeshindwa ila tumewahenyeshaaaa ndo furaha yetu..
Simba ni wawakilishi pekee Africa mashariki na kati
Simba imejitoa hata kama haikua na wafungaji bora wamekua na team work na hawajakata tamaa
Na wamepambana hata kama sio kwa kufunga wamepambana kuzuia magoli huo ndo uanaume, mwanaume anapaswa kutake action ili afikie lengo lake kwa njia yoyote ile,lengo la Simba jana ilikua ni kuzuia magoli na hata kama ni kupata goli basi wanahakikisha hawafungwi.
Halafu Hao pirates wamepata goli la kuhenyaaaa yani wamehenyaaa tumeshindwa ila tumewahenyeshaaaa ndo furaha yetu..