Hawa ni kwa mwaka huu tu na huenda kwa msimu wa 2013/4
- Mrisho Ngassa
- Obina
- Shaban Kondo
- Dida.........mzizi wa SSC
- Wakimkosakosa Kiemba
- Walimkosakosa Kaseja
- ................................ATAKUWEPO TU
I like it, waligundua wakienda wenyewe wanapata magarasa, sasa wameamua kuvizi makombo yanayoanguka mezani mwa Simba
Hawa ni kwa mwaka huu tu na huenda kwa msimu wa 2013/4
- Mrisho Ngassa
- Obina
- Shaban Kondo
- Dida.........mzizi wa SSC
- Wakimkosakosa Kiemba
- Walimkosakosa Kaseja
- ................................ATAKUWEPO TU
Hawa ni kwa mwaka huu tu na huenda kwa msimu wa 2013/4
- Mrisho Ngassa
- Obina
- Shaban Kondo
- Dida.........mzizi wa SSC
- Wakimkosakosa Kiemba
- Walimkosakosa Kaseja
- ................................ATAKUWEPO TU
Ndicho pekee kilichobaki kwa wanasimba baada ya malkia wa nyuki kuota mbawa. Ngasa lini alikua na mkataba Simba, vipi Kondo alisajjiliwa lini na Simba, Obina alicheza lini SImba? Dida mmemuuza shilingi ngapi vile? Nilidhani wewe ni mtu makini kuliko Rage, sasa naanza pata shaka uwezo wa wana Simba kufikiri.
Simba now hawana hela ndio maana wanasajili wachezaji cheap
Bathez aliwekwa benchi karibu misimu 6 kaja Yanga ndio kipa namba moja mnatamani angebaki,
Nurdin mlisema mgonjwa wa moyo hawezi cheza tena mpira
Chuji kuna kiongozi wenu alikuwa anakula mke wa Chuji,akaamua aje Yanga
Yondani aliwashinda kumlipa mshahara mkiti wenu akaapa Yondani hatacheza Yanga
Bathez aliwekwa benchi karibu misimu 6 kaja Yanga ndio kipa namba moja mnatamani angebaki,
Nurdin mlisema mgonjwa wa moyo hawezi cheza tena mpira
Chuji kuna kiongozi wenu alikuwa anakula mke wa Chuji,akaamua aje Yanga
Yondani aliwashinda kumlipa mshahara mkiti wenu akaapa Yondani hatacheza Yanga