Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
- Thread starter
- #21
nenda Tawi la Mpira Pesa uoneshwe kadi yake
Yondani walikuwa wakimtambua kama mpenzi wa Yanga siku zote pale Msongamanoni, kila Simba ikifungwa na Yanga, Yondani alikuwa akibebeshwa lawama za kucheza kinazi, sasa karejea home tatizo liko wapi?