mizigo ya mavi hiyoHuyu naye anaongeza idadi wa wachezaji wa kimataifa watano ambapo wabrazil wapo watatu,anaitwa Tairone dos santos ana miaka 30,ametokea klabu ya cearense ya kwao,Ni beki wa katiView attachment 1140997View attachment 1140998View attachment 1140999
mizigo ya mavi hiyo
Huyu naye anaongeza idadi wa wachezaji wa kimataifa watano ambapo wabrazil wapo watatu,anaitwa Tairone dos santos ana miaka 30,ametokea klabu ya cearense ya kwao,Ni beki wa katiView attachment 1140997View attachment 1140998View attachment 1140999
Kwa nini useme tumeuziwa mbuzi kwenye gunia? Ulishawahi muona akicheza?Kipofu kaona mwezi
Mmeuziwa mbuzi kwenye gunia.
Tatizo wakisikia Brazil wanahisi kila mtu anakipaji cha kucheza mpiraHivi vilabu vinavyofanya vizuri africa vimesajili wachezaji kutoka America?
Mamerod Sundowns inao wachezaji watatu kutoka Brazil na wako vizuri sana.Hivi vilabu vinavyofanya vizuri africa vimesajili wachezaji kutoka America?
umejuajeYaani amekuja leoleo na kusaini mkataba bila hata ya kuwa na mwanasheria ....hakuna mchezaji hapo
Lazima mikakati yenu na timu zingine ifanane? acha kuushi kwa mazoeaHivi vilabu vinavyofanya vizuri africa vimesajili wachezaji kutoka America?
Nyi watoto mna shida gani..mamerod ndiyo kitu ganiMamerod Sundowns inao wachezaji watatu kutoka Brazil na wako vizuri sana.
Kama hujaelewa ujumbe uliza.Nyi watoto mna shida gani..mamerod ndiyo kitu gani
South Africa unafananisha na TPL?tuwe seriousMamerod Sundowns inao wachezaji watatu kutoka Brazil na wako vizuri sana.