nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,988
- 5,649
Timu gani isiyofungwa duniani SASA??Wakadundwa na wanaume Wydad Casablanca eeeh. Waafrika tunachezewa akili.
Timu gani isiyofungwa duniani SASA??Wakadundwa na wanaume Wydad Casablanca eeeh. Waafrika tunachezewa akili.
Timu gani isiyofungwa duniani SASA??
Kufanya kwao vizuri na hao waamerika wauza ngada Wamechukua makombe mangapi ya caf champions league mpaka sasa?Mamelod Sundowns wamesajili waAmerika kibao na wanafanya poa Sana Kwa championship
Kufanya kwao vizuri na hao waamerika wauza ngada Wamechukua makombe mangapi ya caf champions league mpaka sasa?
Ndio hapo sasa, ilimradi waamerica ya kusini basi wakajiona wamepata kweli 🤣🤣🤣 Wydad, Esperance, Al ahly na Tp mazembe hawana hata mmoja kutoka amerika lakini ndio wamechukua ubingwa mara nyingi kuliko mamelody ambae ana 1 tittle wamechukua 2016
1-0 siyo tofauti kubwa. Walipambana sana. Kumbuka waliinyuka Al Ahly ya Misri 5-1 kama kasimama.Wakadundwa na wanaume Wydad Casablanca na vibrazili vyao eeeh. Waafrika tunachezewa akili.
1-0 siyo tofauti kubwa. Walipambana sana. Kumbuka waliinyuka Al Ahly ya Misri 5-1 kama kasimama.
Ubovu wake ni upi au kwa kuwa ilifungwa goli tano?Al ahly ya siku hizi mbovu.
Ubovu wake ni upi au kwa kuwa ilifungwa goli tano?