Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 576
- 2,562
Klabu ya Simba imefanikiwa kunasa saini ya Saido Ntibazonkiza, raia wa Burundi aliyekuwa anachezea timu ya Geita Gold.
Mchezaji huyu amesaini kandarasi ya mwaka mmoja na nusu kwenye klabu hiyo kubwa nchini inayopatikana mtaa wa Msimbazi.
Mchezaji huyu amesaini kandarasi ya mwaka mmoja na nusu kwenye klabu hiyo kubwa nchini inayopatikana mtaa wa Msimbazi.