brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Wekundu wa Msimbazi na mabingwa watarajiwa wa msimu wa 2016/17 Simba wameitafuta timu ya Geita gold mining inayoshiriki ligi daraja la kwanza kwa jumla ya 7 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Leo.
Hizi ni salamu kwa Mbao FC wanaotarajiwa kucheza nao weekend hii kwenye mchezo muhimu wa ligi kuu
Simba inaitaji ushindi namba yoyote ili kusafisha safari ya ubigwa
Hizi ni salamu kwa Mbao FC wanaotarajiwa kucheza nao weekend hii kwenye mchezo muhimu wa ligi kuu
Simba inaitaji ushindi namba yoyote ili kusafisha safari ya ubigwa