Alishindwa kumkaba winga wa Zibwabwe, sasa sijui anataka kwenda wapi!! Labda SomaliaShabalala amesikika akisema hataki tena kuichezea timu yoyote ya Tanzania bara kwa sasa huku Haji Manara akijinasibu tayari wamemsainisha mkataba mpya mchezaji huyo, ukweli ni upi?