Simba wamenikumbusha miaka saba iliyopita

hiram

JF-Expert Member
Aug 1, 2013
266
393
NDIYO terehe 1 machi 2014 Yanga alimuua Al Ahly 1 - 0 goli la Canavaro dakika ya 82.

YANGA.jpg
 
Mimi na declare interest, Mimi Ni mwanachama na shabiki wa Yanga sc. Nawashauri wanayanga wenzangu tuache huu udhaifu wa kujificha kwenye historian na ndipo tutaweza kufika tunapopataka ambapo wenzetu Simba naona wanaelekea huko, tuache maneno mengi tuonyeshe vitendo Kama wenzetu Simba sc wanavyofanya, tofauti na hapo tutaendelea kujifariji na historia ambayo hata hivyo haitusaidii kwa lolote.

Tutumie muda vizuri, tunaweza, Kama wenzetu wanaweza kwa nini sisi tusiweze? Mwisho; Kudos Simba sc hakika njia mnatuonyesha, na hivi hivi mtaandika historia nyingine ya kutukuka.
 
Back
Top Bottom