Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

Simba wameanza kuchoka yanga wameanza kuonana.

Nadhani matokeo ya mwisho yatakuwa kama "Dk" Uwesu alivyotabiri...embu checki hapa chini...

 
Ningekuwa na uwezo ningemwambia Niyonzima aende zake Ulaya tu,hapa Yanga wanamzingua tu
 
Kama Mshabiki wa Simba naona Yanga wanacheza Gonga safi Simba tunakimbia tu na mpira bila kuangaliana na Ngassa anao anao sana lazima tuzitoe pasi na tusikae sehemu moja.
 
SHAME MAN simba kitu gani pale tumefanya mtu mpira unao uweke mguuni jaribu kwenda sasa kajiangushia nini hawa ndio wanatuharibia sasa Simba.
 
Kama Mshabiki wa Simba naona Yanga wanacheza Gonga safi Simba tunakimbia tu na mpira bila kuangaliana na Ngassa anao anao sana lazima tuzitoe pasi na tusikae sehemu moja.

wewe unasikiliza au unaangalia..
 
Kama Mshabiki wa Simba naona Yanga wanacheza Gonga safi Simba tunakimbia tu na mpira bila kuangaliana na Ngassa anao anao sana lazima tuzitoe pasi na tusikae sehemu moja.

We hizo gonga za simba huzioni! tupo vizuri bado
 
SHAME MAN simba kitu gani pale tumefanya mtu mpira unao uweke mguuni jaribu kwenda sasa kajiangushia nini hawa ndio wanatuharibia sasa Simba.

ndio umeligundua hilo sasa hivi..
 
Amri kilemba yupo anapasha nadhani yanga wanataka kufanya sub
 

watu wa siasa bwana kila sehem mnaingiza siasa.sasa hapo unamaanisha nini.!
 
Hahahahaa!! Politiki everywhere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…