DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kuanza rasmi kwa kipute cha Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, mjadala mkubwa unaoendelea miongoni mwa wadau wa soka ni juu ya nani ametisha zaidi katika dirisha hili la usajili kati ya vigogo wawili wa soka la Bongo, Simba SC na Yanga SC.
Chini ni mtazamo wangu!!!!!!
Kikosi cha Simba SC
Kikosi cha Yanga SC
Chini ni mtazamo wangu!!!!!!
Kikosi cha Simba SC
- Camara (Goalkeeper)
- Kapombe
- Naby Camara
- Chamou
- Rushine
- Kante
- Sowah
- Bajaber
- Dese
- Ahoua
- Mpanzu
Kikosi cha Yanga SC
- Diara (Goalkeeper)
- Mohamed Hussein
- Kibwana
- Bacca
- Job
- Konte
- Maxi
- Doumbia
- Boyeli
- Pacome
- Mzize